Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,426
Khaa!! Wengine ndiyo maisha yao hayo. Wakipigwa chini kule walikotoa uchafu watakuwa wanakusikia bombani tuHivi Ukawa huwa hamuwezi kubishana kwa hoja mpaka mtukane? Acheni kutokwa povu, jibuni hoja kwa counter hoja bhana, hasira za nini?