kama kwa andiko hili na wewe utakuwa umelipwa basi hela za lumumba zinachezewa hovyo sana !Uloi nga mâché68;14021815 said:Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA, mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji, Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA.
Mtashangaa sana
Wapiga dili fc mtaisoma namba mwaka huu maana mnapumulia mashine sahv mnatoa kila sababu eti mtaibiwa kura hahahah too lateWewe Zombie unahangaika!! Pole sana mwaka huu mwisho wenu wa kudaka buku saba. Mazombie fc
Wewe ndo umelipwa posho pamoja na uji, sahv umeingia lindo la jioni, hahaha njaa itakuua wewe kijanakama kwa andiko hili na wewe utakuwa umelipwa basi hela za lumumba zinachezewa hovyo sana !
Ikifika oktoba 25 usibadili ID yako humu ndani maana itakukuta aibu kubwa sanamwendo ni mageuzi . . ccm out ukawa for new government! !
Ndivyo ilivyo kila dalili zinajionesha ndio maana mlisema hata kwa goli la mkono
Uloi nga mâché68;14021815 said:Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA, mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji, Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA.
Mtashangaa sana
Magufuli atashinda kwa kishindo. Hilo ni la kisayansi kabisa. Bila utafiti mnaringua nini?
Uloi nga mâché68;14021815 said:Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA, mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji, Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA.
Mtashangaa sana
Oct tar 26 vaa pumpers kabisa
Hotuba ya JK kule ZNZ juzi juzi kwamba uchaguzi mwaka huu ni tofauti kabisa na chaguzi nyingine maana ni mgumu kweli hivyo kazi kubwa ya shuka kwa shuka inatakiwa kwa wana CCM wote. Kilio hicho cha mtu mzima kinaashiria nini kama siyo dalili za kushindwa??????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu hata mzee Mengi amewastukia, amewakana hadharani juzi.Uloi nga mâché68;14021815 said:Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA, mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji, Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA.
Mtashangaa sana
Kama ni football watani wa jadi wanapambana CCM 3 UKAWA 1 kazi kwenu.
Mtaisoma namba mwaka huu, mmeacha watu wazima mkaenda kuokota maradhi, kachezeni sasa, Jana mnaahirisha mkutano Geita kwa cheap reason Ati mike hazisikiki, mboma Lisu alipokuwa anaongea kuahirisha mkutano alisikika? Ati jukwaa Dogo, hamkujua kama mna mkutano Jana? Hali ya mgombea ilikuwa tete, bado siku 38 mtasingizia kila kitu Hadi mtamaliza muumbuke,, walafi wakubwa wa madaraka nyie
Kachanganyikiwa babako..mwaka huu lazima mnye moto mtajamba Cheche..jipange bwabwa we akili zako ziko kwenye makalio yako..