UKAWA wachanganyikiwa!

UKAWA wachanganyikiwa!

Uloi nga mâché68

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
486
Reaction score
153
Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA, mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji, Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA.

Mtashangaa sana
 
Uloi nga mâché68;14021815 said:
Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA,mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji,Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA. Mtashangaa sana
Oct tar 26 vaa pumpers kabisa
 
Tulia kijana, dawa imeshaanza kufanya kazi.
 
Uloi nga m0‰9ch¨¦68;14021815 said:
Katika hali ya kukatishwa tamaa na ukweli kwamba watashindwa vibaya Oktoba , UKAWA wameanza kutoa visingizio kwamba mara wataibiwa KURA,mara NEC inaandaa mazingira ya kuibeba CCM hali wakijua kwamba udhaifu wao kwenye Vijiji,Vitongoji na Mitaa na kuikana Itikadi yao ndio kaburi lao. PIGO linakuja OKTOBA. Mtashangaa sana

Kuna uongo mpya ambao wanaueneza hasa maeneo ambayo watu wake hawana elimu ya kutosha, wanasema eti ukimpigia kura lowasa, ili alama baadaye inahamia kwa Magufuli! Ha ha ha ha! Sasa sijui ukimpigia magufuli ndio itahamia kwa Lowasa!! Yani ni ujinga ujinga tu, wamekata tamaa kabisaa!
 
Kweli wamechanganyikiwa Magamba, hadi yanatengeneza matokeo feki ya utafiti. Yameishiwa hoja na sasa wanadandia Richmondi ya miaka 8 iliyopita. Ukweli ni kwamba si kuwa watanzania wanampenda Lowasa sana kivile lakini wameichoka sana CCM. Mijini na vijijini hawataki kuisikia.Ukawa sasa hivi upo hadi ngazi ya vitiongoji na vijiji! Mashabiki wake wamejiandikisha kupiga kura tofauti na chaguzi zingine. Thread kama hii ni ya kuweka katika akili za watu mpango wa wizi. Hakuna namna halali ya CCM kushinda uchaguzi huu! Fanya survey ya kweli na utahakikisha!
 
UKAWA imetabiriwa ndani ya bibla someni Zaburi 32:9 mtawafahamu ni akina nani mbele za mungu. Ameni
 
Uloi nga mâché68;14022013 said:
Wanaojitambua wameelewa somo kwamba UKAWA itashindwa vibaya!

Tena itashindwa vibaya kwa goli la mkono!!
 
UKAWA ingekuwepo Vijijini na Vitongojini isingeambulia 20% Uchaguzi wa Serikali za Mitaa miezi 10 iliyopita! KIMEBADILIKA NINI SASA?
 
Ndivyo ilivyo kila dalili zinajionesha ndio maana mlisema hata kwa goli la mkono
 
Back
Top Bottom