Hiyo Aibu ndiyo itazindua Dunia kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki.Duhh kama watafanya fujonitakuwa ni aibu kubwa sana kunahitajika juhudi za makusudi kufikia maridhianonkama hawataki ni bora wasihudhurie tu bungeni waondoe hiyo aibu
Hiyo Aibu ndiyo itazindua Dunia kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki.Duhh kama watafanya fujonitakuwa ni aibu kubwa sana kunahitajika juhudi za makusudi kufikia maridhianonkama hawataki ni bora wasihudhurie tu bungeni waondoe hiyo aibu
Sasa Rais Magufuli asipohutubia Bunge na kulizindua watachukuaje posho? Nashauri Magufuli afute kwanza posho za Wabunge ili walipwe mshahara tu
Huu si utawala wa jk,walizoea fujo yeye anawaangalia tu,magufuli atawanyoosha
wazo zuri,hatuwezi kulipa watu pesa ili wakapige kelele bungeni,futa posho wape mshahara wa laki nane kwa mwezi,asiyetaka ajiuzuru ubunge
kambi ya upinzani bungeni inapanga kuivuruga kabisa hotuba ya mheshmiwa rais je ni hatua zipi zichukuliwe kunusuru hali
Kama wanamkataa Rais basi hata wao sio wabunge halali maana ni tume hiyohiyo iliyowapitisha....watanzania tunataka baraza liundwe watu waanze kazi za kujenga taifa...ole wao walete fujo...nasema tena !ole wao!
Hapo ndio watanzania watajua faida ya kuchagua wabunge wapuuzi. Hawa UKAWA wanafikiri hii bado ni serikali ya Kikwete. Ngoja Magufuli awaweke sawa ndio watapata akili.
Sasa Rais Magufuli asipohutubia Bunge na kulizindua watachukuaje posho? Nashauri Magufuli afute kwanza posho za Wabunge ili walipwe mshahara tu
Badala wakae wajadili jinsi ya kusaidia nchi isonge mbele wao wanaendeleza siasa za ugoro,yaani muda wote wakiutumia kujadili uchaguzi,lini watajadili kutatua kero kibao zinazowakabili wananchi?
Una uhakika au umeziba ogani zako za fahamu na kinyesi?
Duhh kama watafanya fujonitakuwa ni aibu kubwa sana kunahitajika juhudi za makusudi kufikia maridhianonkama hawataki ni bora wasihudhurie tu bungeni waondoe hiyo aibu
. Haaa wabunge wengi wananjaa na wapiga dili tu....wasipate posho wataweza vipi kuonga dada zetu hapo UDOM na kulala hotel za kifahali????!!!!.....UKAWA hawana matokeo yoyote kwa jamii ya Tanzania.....kichwa kiliondoka wamebaki kiwiliwili.....Viva dr.Slaa
Tupe huo ushahidi wa Jecha badala ya kuanza kutukana hapa. Wengine tuna heshima zetu ...............!!!
Mpaka sasa nimeona sababu za Jecha kufuta uchaguzi. Sijaona ushahidi wa alichokisema!!
Yafanyike maridhiano nchi isonge mbele
Kheee!! Kwahiyo umepigia mstari kwamba JK alikuwa dhaifu haswa au ?
Mbona unapingana na FaizaFoxy au hamko chama kimoja?
- Ninaapa kwamba hawawezi kama wanajua haki wangeianza kwenye Wabunge wao wa Viti Maalum, hahahahaha kesho wakileta za kuleta yale malori bado yana maji yaliyokuja nayo hahahahahaha
Le Mutuz