Hatimaye imetangazwa rasmi mgombea ubunge jimbo la Segerea ni Julius Mtatiro,rasmi sasa wale wana wa UKAWA tuingie kazini kuhakikisha tunalichukua jimbo mapema sanaa.
REMSA nakushukuru na kukupongeza kwa kutupatia taarifa nzuri tulizokuwa tunazisubiri... Julius Mtatiro ninamwamini na nina hakika ataisimamia ukawa vyema segerea. sasa nina hakina kuwa tanzania bila ccm inawezekana oktoba 25 na segerea bila ccm pia inawezekana...mabadilikoooo lowassaaa...lowassaaa mabadilikoooo...vichinjio tunavyo, nia tunayo, sababu tunayo na inshaallah mola atupe uhai tufike siku hiyo. Kwako mdogo wangu Mtatiro, tafadhali endesha siasa makini zenye kuchambua hoja na kuzipangua kama ulivyozipangua hoja dhaifu za polepole kwenye channel ten...tupo pamoja HAKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII........PEOPLEEEEEEEEES.........MAGEUZIIIIIIIII......MOTOMOTOOOOOOO
Hatimaye imetangazwa rasmi mgombea ubunge jimbo la Segerea ni John Mtatiro,rasmi sasa
wale wana wa UKAWA tuingie kazini kuhakikisha tunalichukua jimbo mapema sanaa,Bonna ni
kwa Mtatiro ni mwepesi kama Sufi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.