UKAWA twendeni Vijijini tujihakikishie ushindi

UKAWA twendeni Vijijini tujihakikishie ushindi

The GT

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
461
Reaction score
529
Nikiwa mkereketwa wa mabadiliko na mfuasi wa UKAWA.
Naomba wanaUKAWA wenzangu tutoe wito kwa viongozi wetu sasa kujikita maeneo ya vijijini ambako kwa dakika hizi za majeruhi watatuelewa kwani kwa mijini tayari ushindi tunao,ila shida ipo vijijini kwa %kubwa.

Aidha,napendekeza yafuatayo yafanyike:-
1.Wewe mwenyewe binafsi,tafuta kondoo wapya wasiopungua 10 na wao watawatafuta wenzao kwa idadi hiyo na uzazi kama wa viwavi tukajikuta tupo wengi na tukafanya mabadiliko na sio kupiga blahblah tu.

2.Viongozi wa kitaifa hakikisheni mnagusa walau kila kata kama si kijiji wakati wa kampeni kwani maneno yenu huvuna wengi kuliko ya kwetu.

3.Mh.Lowasa ambaye ni mgombea Urais,hakikisheni anapita kila Jimbo kama si kila kata.

4.Viongozi jipangeni dhidi ya goli mkono na andaeni mawakala kila sehemu.

Matumaini ni makubwa kwani baadhi ya wanavijiji wanasema Ubunge CCM,Urais Lowasa.Ukiwauliza kwanini?wanasema tunataka mabadiliko.Kwa kauli hiyo hao wanaweza kubadilika kwa vyote.

KWA KUFANYA HAYO NI USHINDI WA KIMBUNGA.
 
Kondoo mtawapata ila wapiga kura sahauni.

Mmewekeza sana kwenye media badala ya majimboni.

October sio mbali.
 
Nikiwa mkereketwa wa mabadiliko na mfuasi wa UKAWA.
Naomba wanaUKAWA wenzangu tutoe wito kwa viongozi wetu sasa kujikita maeneo ya vijijini ambako kwa dakika hizi za majeruhi watatuelewa kwani kwa mijini tayari ushindi tunao,ila shida ipo vijijini kwa %kubwa.

Aidha,napendekeza yafuatayo yafanyike:-
1.Wewe mwenyewe binafsi,tafuta kondoo wapya wasiopungua 10 na wao watawatafuta wenzao kwa idadi hiyo na uzazi kama wa viwavi tukajikuta tupo wengi na tukafanya mabadiliko na sio kupiga blahblah tu.

2.Viongozi wa kitaifa hakikisheni mnagusa walau kila kata kama si kijiji wakati wa kampeni kwani maneno yenu huvuna wengi kuliko ya kwetu.

3.Mh.Lowasa ambaye ni mgombea Urais,hakikisheni anapita kila Jimbo kama si kila kata.

4.Viongozi jipangeni dhidi ya goli mkono na andaeni mawakala kila sehemu.

Matumaini ni makubwa kwani baadhi ya wanavijiji wanasema Ubunge CCM,Urais Lowasa.Ukiwauliza kwanini?wanasema tunataka mabadiliko.Kwa kauli hiyo hao wanaweza kubadilika kwa vyote.

KWA KUFANYA HAYO NI USHINDI WA KIMBUNGA.

Napenda ushindi wa asilimia mia moja lakini hii itakuwa ni aibu na dharau kubwa kwa ccm,kwakuwa litakuwa ni anguko la aibu litakaloingia kwenye vitabu vya historia na Guiness book of records
 
Nikiwa mkereketwa wa mabadiliko na mfuasi wa UKAWA.
Naomba wanaUKAWA wenzangu tutoe wito kwa viongozi wetu sasa kujikita maeneo ya vijijini ambako kwa dakika hizi za majeruhi watatuelewa kwani kwa mijini tayari ushindi tunao,ila shida ipo vijijini kwa %kubwa.

Aidha,napendekeza yafuatayo yafanyike:-
1.Wewe mwenyewe binafsi,tafuta kondoo wapya wasiopungua 10 na wao watawatafuta wenzao kwa idadi hiyo na uzazi kama wa viwavi tukajikuta tupo wengi na tukafanya mabadiliko na sio kupiga blahblah tu.

2.Viongozi wa kitaifa hakikisheni mnagusa walau kila kata kama si kijiji wakati wa kampeni kwani maneno yenu huvuna wengi kuliko ya kwetu.

3.Mh.Lowasa ambaye ni mgombea Urais,hakikisheni anapita kila Jimbo kama si kila kata.

4.Viongozi jipangeni dhidi ya goli mkono na andaeni mawakala kila sehemu.

Matumaini ni makubwa kwani baadhi ya wanavijiji wanasema Ubunge CCM,Urais Lowasa.Ukiwauliza kwanini?wanasema tunataka mabadiliko.Kwa kauli hiyo hao wanaweza kubadilika kwa vyote.

KWA KUFANYA HAYO NI USHINDI WA KIMBUNGA.

Mkuu upo sahihi kabisa kwasababu hawa CCM wao wanajiaminisha kupata ushindi zaidi vijijini.
 
Katika hali isiyopingika ni kuwa EL mjini anakubalika sana, Sasa je vijijini nako hali ipoje?

Nina wasiwasi sana na sijui.Hebu Tupeane taarifa kwa wale wa vijijini maana ninyi ndio goli lenyewe la mkono ambalo Nape alisema kuwa beki hataweza kuondoa mpira.
 
Yani Lowassa ata afanyeje kuwa rais wa tz ningumu sana pia naisi october baada ya kushindwa ataanguka na plesha na mpa pole sana ccm juu tena juu zaidi
 
Huko vijijini ndio bora lowassa mara 100000 kuliko Magufuli. Magufuli hata hawamjui ndio nani!!.
 
Wanashangilia wingi wa nyomi la wa town ambako wanaopiga kura ni asilimia ndogo sana tofauti na vijijini
 
Utafiti unaonesha watu wa vijijini waliwekewa picha ya LOWASA na MAGUFULI waliishia kuchagua picha ya Lowasa na kumkubali na kusema mtoto wa Nyerere wanafanana Nywere, na hadi leo Wana CCM huko vijijin wanajua Lowasa ni CCM hivyo wakienda kupiga kura wakiona waleo wagombea sura zao wataichagua ya LOWASA, viva UKAWAAAAA
 
kama una mama, baba, shangazi, mjomba, bibi, babu, kaka, dada etc. hata kama wapo kijijini, wapigie simu uwaombe wampigie Mh. Lowassa na UKAWA kura ili tupate mabadiliko. Siasa zenye uongozi wa chama kimoja hazina tija katika mendeleo ya taifa. Mataifa mengi yaliyoendelea, vyama hubadilishana dola.
 
Mkuu huo ni mtazamo na tahadhari tu so ucnifikirie vibaya

Utafiti unaonesha watu wa vijijini waliwekewa picha ya LOWASA na MAGUFULI waliishia kuchagua picha ya Lowasa na kumkubali na kusema mtoto wa Nyerere wanafanana Nywere, na hadi leo Wana CCM huko vijijin wanajua Lowasa ni CCM hivyo wakienda kupiga kura wakiona waleo wagombea sura zao wataichagua ya LOWASA, viva UKAWAAAAA
 
Back
Top Bottom