JOKA55
Senior Member
- Nov 1, 2014
- 110
- 74
Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........
Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,
kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?
-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?
-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?
-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?
Nisaidieni kujibu
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........
Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,
kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?
-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?
-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?
-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?
Nisaidieni kujibu