UKAWA, tutafakarini kwa pamoja haya

UKAWA, tutafakarini kwa pamoja haya

JOKA55

Senior Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
110
Reaction score
74
Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?


Nisaidieni kujibu
 
Ukawa ni umoja usiojua hata umuhimu wa OFISI. achilia mbali hayo mambo mengine.
Pamoja na kudai kwamba hospitali hazina dawa lakini huwezi kumuona Slaa,Mbatia wala Lipumba wakifunga safari kwenda kuwaona wagonjwa na kwenda kutoa pole au mchango.

KWA KIFUPI HARAKATI ZAO ZIPO MDOMONI. WAZEE WA KULOLOMA.
 
Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?


Nisaidieni kujibu

obvious unaitaji darasa la kujua nini kazi za chama cha siasa here we go
siyo kazi ya chama cha siasa kujenga shule, barabara wala hospitali kwa sababu hawakusanyi kodi yoyote kutoka kwa wananchi kwahiyo ndio maana wako kwy ushindani ili kupata nafasi ya kuyafanya hayo wanayoyasema wakiingia madarakani.

kazi ya ruzuku kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni kwa ajili ya kusaidia kuimarisha na kuendesha vyama vyao si kwa ajili ya kujenga barabara wala hospitali na ukipeleka matumizi kama hayo kwa msajili wa vyama utakuwa kwy matatizo makubwa kwa maana ni kinyume cha sheria.

Shs bilioni 1 kwa vyama vitatu vikuu si pesa nyingi kwa kuendesha chama kwa nchi nzima kwhiyo hata hizo ofisi nyingi wausika wamejitolea kwa sababu ya mapenzi yao pesa hiyo

wameweza kukitumia kiasi hicho kidogo cha fedha kujiimarisha nchi nzima na matunda yake umeyaona hivi karibuni kwahiyo utendaji wao ni mzuri kwani wanafanya kazi katika mazingira magumu sana kwahiyo ukifanya cost/benefit analysis kwa shs bil.1 kwa mwezi na mafanikio waliyoyapata hivi karibuni ni miracles
 
Posho za wenyeviti.
mbowe milion 150 kwa mwezi.
mbatia m 30.
lipumba 50.
posho ya katibu mkuu.
slaa milion 70.
wa cuf laki 5
watendaji wakuu wa vyama.
mnyika m 30.
lisu m 50.
mtatiro m 10.
mishahara ya wafanyazi milion 200.
usafi wa ofisi kuu.
ufipa milion 100.
ya kafu elfu 20.
vifaa vya ofisini.
ufipa m 50.
magwanda m 120.

panabaki kitu hapo?,bado petrol za magari na spea
 
obvious unaitaji darasa la kujua nini kazi za chama cha siasa here we go
siyo kazi ya chama cha siasa kujenga shule, barabara wala hospitali kwa sababu hawakusanyi kodi yoyote kutoka kwa wananchi kwahiyo ndio maana wako kwy ushindani ili kupata nafasi ya kuyafanya hayo wanayoyasema wakiingia madarakani.

kazi ya ruzuku kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni kwa ajili ya kusaidia kuimarisha na kuendesha vyama vyao si kwa ajili ya kujenga barabara wala hospitali na ukipeleka matumizi kama hayo kwa msajili wa vyama utakuwa kwy matatizo makubwa kwa maana ni kinyume cha sheria.

Shs bilioni 1 kwa vyama vitatu vikuu si pesa nyingi kwa kuendesha chama kwa nchi nzima kwhiyo hata hizo ofisi nyingi wausika wamejitolea kwa sababu ya mapenzi yao pesa hiyo

wameweza kukitumia kiasi hicho kidogo cha fedha kujiimarisha nchi nzima na matunda yake umeyaona hivi karibuni kwahiyo utendaji wao ni mzuri kwani wanafanya kazi katika mazingira magumu sana kwahiyo ukifanya cost/benefit analysis kwa shs bil.1 kwa mwezi na mafanikio waliyoyapata hivi karibuni ni miracles

Mkuu hongera kwa majibuyako makini yanayoeleweka hata mnywa gongo anaelewa,kuna watu utawakuta eti wapo vyuo vikuu n.k wanahoji hivyo kwa sababu hawaelewi!.Hiyo ni aibu kwa wasomi wetu!
 
Chadema wao wanapiga ruzuku tu matumaini ya kuchukua nchi wanajua ni ndoto! Ndiyo maana wanajipigia ruzuku tu, chadema inapokea pesa ambayo kwa mwezi inauwezo wa kununua nyumba kinondoni au mwananyamala lakini bado wamepanda tu! Hata TLP imewashinda ina ofisi yao jengo lao magomeni usalama, lakini chadema hakuna kitu japo viongozi wake wana nyumba mpaka dubai, south and europe.
 
Posho za wenyeviti.
mbowe milion 150 kwa mwezi.
mbatia m 30.
lipumba 50.
posho ya katibu mkuu.
slaa milion 70.
wa cuf laki 5
watendaji wakuu wa vyama.
mnyika m 30.
lisu m 50.
mtatiro m 10.
mishahara ya wafanyazi milion 200.
usafi wa ofisi kuu.
ufipa milion 100.
ya kafu elfu 20.
vifaa vya ofisini.
ufipa m 50.
magwanda m 120.

panabaki kitu hapo?,bado petrol za magari na spea

sources source please??
 
Haa haa chama kijenge mabarabara badala ya kujenga mtandao wa chama vijijini na mijini? Any way tatizo la upinzani ni zaidi ya hayo uliyoyaandika, wana tatizo la kufanya siasa kwa matukio. Kwa mfano toka mwaka huu uanze hawana mpango mkakati ulio wazi wa kufanya mikutano kitaifa ili kujenga vyama. Wenzao ccm wanachanja mbuga.
 
Chadema wao wanapiga ruzuku tu matumaini ya kuchukua nchi wanajua ni ndoto! Ndiyo maana wanajipigia ruzuku tu, chadema inapokea pesa ambayo kwa mwezi inauwezo wa kununua nyumba kinondoni au mwananyamala lakini bado wamepanda tu! Hata TLP imewashinda ina ofisi yao jengo lao magomeni usalama, lakini chadema hakuna kitu japo viongozi wake wana nyumba mpaka dubai, south and europe.

Maneno yenu ya kipuuzi kama haya yasiyo na mashiko wala ushahidi hayawaondoi watu welevu kwenye mstari.
 
Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?


Nisaidieni kujibu

hoja ovu imejengwa kakatika dhana isiyo sahihi. vyama hivyo havipati hiyo ruzuku uliyotaja. chama pekee kinachoipata ni CCM
 
Ukawa wajenge barabara? duh! thread zingine mtu unaona aibu hata kuchangia.


PIGA KURA YA HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA
 
Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?


Nisaidieni kujibu
Kuwambia UKAWA wajenge mashule na barabara kwa ruzuku wanazopokea ni kuwaonea, na ruzuku za CCM zifanye nini achilia mbali kodi wanazokusanya.
 
JOKA55 Samahani sana sijakuelewa kuanzia mwanzo hadi mwisho hoja yako inataka nini! Nimesoma na kurudia na kurudia na kurudia lakini sijaambulia kitu kutoka kwako, kwani ulikuwa unataka kusema nini hasa kuhusu matumizi ya ruzuku!
 
Kujihami kwamba we sio CCM ni kujihami,unadhani sie watoto.umetumwa pumbavu wewe hebu lete mchanganuo wa ruzuku ya bilioni moja yako
 
KUJENGA BRBR, SHULE SI KAZI YA CHAMA.NI KAZI YA SERIKALI INAYOWAKAMUA KODH WANANCHI KWA MINAJIRI YA KUWAJENGEA BRBR,SHULE HALAFU HAIWAJENGEI PESA ZINALIWA.HAPA CHAMA KAZI YAKE NI KUPIGA KELELE WIZI HUO.Kuhusu Kujenga Ofisi Za Chama Hilo Ni Kweli Vyama Viachane Na Kupanga Kwenye Majumba Ya Watu Badala Yake Waanze Kujenga Ofisi Zao Wenyewe.
 
Kuwambia UKAWA wajenge mashule na barabara kwa ruzuku wanazopokea ni kuwaonea, na ruzuku za CCM zifanye nini achilia mbali kodi wanazokusanya.

Achana nae kichaa uyo mtoa mada
 
Hizi propaganda zilishashindwa siku nyingi kuisaidia ccm yako,sijui mmekosa ubunifu mpaka mnaanza kuzirudiarudia?
Ruzuku ya UKAWA kwa ujumla haifikii ya chama chako,ccm.
Hata hivyo pamoja na chama chenu,ccm kuwa na ruzuku kubwa kiasi hicho bado kinapoteza umaarufu na ushawishi kwa wananchi wake kwa kasi!
Wananchi tunachotaka,sio mchanganua wa ruzuku na matumizi yake.
Tunataka kuona uwajibikaji wa wenye dhamana ya kutuletea maendeleo kwa kutumia kodi zetu,hawa ni ccm.
CCM mnaruzuku kubwa,mmepora vitega uchumi kama majengo ya kibiashara na viwanja vya mpira,lakini bado mnaiba kidogo mnachokusanya kwenye kodi.
Aibu yako pamoja na chama chenu,ccm.
 
Takwimu zangu bado zinaonyesha 95% ya watanzania walio soma uelewa wao ni mdogo sana kwenye mambo tofauti tofauti kama mleta mada.
 
Back
Top Bottom