UKAWA tumewasaliti Wananchi

Gangongine

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
3,854
1,776
Nakumbuka vema kilichotuunganisha mpaka tuigize kususia Bunge la Katiba ni kuwatetea Wananchi ili Maoni yao yazingatiwe kwenye Katiba Inayopendekezwa. Aidha, wakati wa Uchaguzi tuliwadanganya tena Wananchi kwamba wakituchagua tutapigania Katiba ya Wananchi na kweli tukapata Kura milioni 6. Hata hivyo baada ya Uchaguzi tumesahau kabisa Ajenda hii na wala hatuizungumzii tena kwa kisingizio cha kushindwa Uchaguzi Mkuu 2015. Tumesahau tulianza Ajenda hii kabla ya Uchaguzi Mkuu na tulipaswa kuipigania hata baada ya kushindwa Uchaguzi. Wananchi wenye akili wamatuelewa vizuri kwamba kumbe Ajenda ya Katiba Mpya ilikuwa ujanja wetu wa kushinda Uchaguzi na hatukuwa tunamaanisha toka mioyoni mwetu!!

Ajabu Mgombea wetu alisema kipaumbele kwenye Ilani ya Ukawa ni ELIMU, ELIMU, ELIMU (ELIMUx3) lakini sidhani kama Ilani yetu ilitamka hivyo???? Hapo ndipo usanii wetu ulipobainika mbele ya wenye akili tukapoteza Uchaguzi Mkuu. Kama kweli tuna nia hiyo basi tuoneshe sasa vinginevyo tumewasaliti wananchi na hatuwezi kuaminika tena! MABADILIKOOOOOOOO!
 
Wewe ni Lumumba ambae umeandika hapa haina haja ya kupepesa macho. Kura mmeiba Lowassa alishinda kwa zaidi ya asilimia 62%. Basi kwakuwa tume ilikuwa ya magamba ndipo mlipo ponea. Mimi bado nitaichagua Ukawa.Mmeiba na kupora ushindi wa wabunge wetu alafumkajisifu mmeshinda wakati wapiga kura ni sisi wananchi.

Wewe ulieandika hapa naomba uwaambie magamba wenzako acheni figisu na kutapata tumchague meya wetu wa jiji tufanye maendeleo.
 
Nakumbuka vema kilichotuunganisha mpaka tuigize kususia Bunge la Katiba ni kuwatetea Wananchi ili Maoni yao yazingatiwe kwenye Katiba Inayopendekezwa. Aidha, wakati wa Uchaguzi tuliwadanganya tena Wananchi kwamba wakituchagua tutapigania Katiba ya Wananchi na kweli tukapata Kura milioni 6. Hata hivyo baada ya Uchaguzi tumesahau kabisa Ajenda hii na wala hatuizungumzii tena kwa kisingizio cha kushindwa Uchaguzi Mkuu 2015. Tumesahau tulianza Ajenda hii kabla ya Uchaguzi Mkuu na tulipaswa kuipigania hata baada ya kushindwa Uchaguzi. Wananchi wenye akili wamatuelewa vizuri kwamba kumbe Ajenda ya Katiba Mpya ilikuwa ujanja wetu wa kushinda Uchaguzi na hatukuwa tunamaanisha toka mioyoni mwetu!!

Ajabu Mgombea wetu alisema kipaumbele kwenye Ilani ya Ukawa ni ELIMU, ELIMU, ELIMU (ELIMUx3) lakini sidhani kama Ilani yetu ilitamka hivyo???? Hapo ndipo usanii wetu ulipobainika mbele ya wenye akili tukapoteza Uchaguzi Mkuu. Kama kweli tuna nia hiyo basi tuoneshe sasa vinginevyo tumewasaliti wananchi na hatuwezi kuaminika tena! MABADILIKOOOOOOOO!

Kumbe huko Lumumba nanyi swala la katiba linawagusa ?! Mi nafikiri hii mbovu inawafaa na inawasaidia kuwa vibaka wazuri kwa wananchi
 
Nakumbuka vema kilichotuunganisha mpaka tuigize kususia Bunge la Katiba ni kuwatetea Wananchi ili Maoni yao yazingatiwe kwenye Katiba Inayopendekezwa. Aidha, wakati wa Uchaguzi tuliwadanganya tena Wananchi kwamba wakituchagua tutapigania Katiba ya Wananchi na kweli tukapata Kura milioni 6. Hata hivyo baada ya Uchaguzi tumesahau kabisa Ajenda hii na wala hatuizungumzii tena kwa kisingizio cha kushindwa Uchaguzi Mkuu 2015. Tumesahau tulianza Ajenda hii kabla ya Uchaguzi Mkuu na tulipaswa kuipigania hata baada ya kushindwa Uchaguzi. Wananchi wenye akili wamatuelewa vizuri kwamba kumbe Ajenda ya Katiba Mpya ilikuwa ujanja wetu wa kushinda Uchaguzi na hatukuwa tunamaanisha toka mioyoni mwetu!!

Ajabu Mgombea wetu alisema kipaumbele kwenye Ilani ya Ukawa ni ELIMU, ELIMU, ELIMU (ELIMUx3) lakini sidhani kama Ilani yetu ilitamka hivyo???? Hapo ndipo usanii wetu ulipobainika mbele ya wenye akili tukapoteza Uchaguzi Mkuu. Kama kweli tuna nia hiyo basi tuoneshe sasa vinginevyo tumewasaliti wananchi na hatuwezi kuaminika tena! MABADILIKOOOOOOOO!
ulicho kiandika hapa unashaur ,unalalamika au ww unataka saiv wakufanyie nn
 
Wewe ni Lumumba ambae umeandika hapa haina haja ya kupepesa macho. Kura mmeiba Lowassa alishinda kwa zaidi ya asilimia 62%. Basi kwakuwa tume ilikuwa ya magamba ndipo mlipo ponea. Mimi bado nitaichagua Ukawa.Mmeiba na kupora ushindi wa wabunge wetu alafumkajisifu mmeshinda wakati wapiga kura ni sisi wananchi.

Wewe ulieandika hapa naomba uwaambie magamba wenzako acheni figisu na kutapata tumchague meya wetu wa jiji tufanye maendeleo.
Ahca maneno shughulikia Elimu Elimu Elimu. UKAWA imetoa wapi madawati vile kwa watorto wanaokaa chini?!?!?!
 
Utendaji Wa JPM umeshika akili za watu sana.....Tuwape time...hata rais anajua hili....

Bado time IPO wala hawajechelewa
 
Nakumbuka vema kilichotuunganisha mpaka tuigize kususia Bunge la Katiba ni kuwatetea Wananchi ili Maoni yao yazingatiwe kwenye Katiba Inayopendekezwa. Aidha, wakati wa Uchaguzi tuliwadanganya tena Wananchi kwamba wakituchagua tutapigania Katiba ya Wananchi na kweli tukapata Kura milioni 6. Hata hivyo baada ya Uchaguzi tumesahau kabisa Ajenda hii na wala hatuizungumzii tena kwa kisingizio cha kushindwa Uchaguzi Mkuu 2015. Tumesahau tulianza Ajenda hii kabla ya Uchaguzi Mkuu na tulipaswa kuipigania hata baada ya kushindwa Uchaguzi. Wananchi wenye akili wamatuelewa vizuri kwamba kumbe Ajenda ya Katiba Mpya ilikuwa ujanja wetu wa kushinda Uchaguzi na hatukuwa tunamaanisha toka mioyoni mwetu!!

Ajabu Mgombea wetu alisema kipaumbele kwenye Ilani ya Ukawa ni ELIMU, ELIMU, ELIMU (ELIMUx3) lakini sidhani kama Ilani yetu ilitamka hivyo???? Hapo ndipo usanii wetu ulipobainika mbele ya wenye akili tukapoteza Uchaguzi Mkuu. Kama kweli tuna nia hiyo basi tuoneshe sasa vinginevyo tumewasaliti wananchi na hatuwezi kuaminika tena! MABADILIKOOOOOOOO!
Umejiunga lini ukawa wakati tunakujua ww ni mmoja wa wale wanaosubiria buku Saba pale Lumumba . Kajipange. Upya
 
Back
Top Bottom