UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

Akiyataja maeneo ya Miji midogo ambayo CHADEMA imeshinda, Dr. Slaa amesema "1. Nkasi - Namanyere 2. Hai - Bomang'ombe. 3.Karatu - Karatu. 4. Arumeru Mashariki - Usa river. 5.Vunjo - Ukawa. 6. Mbeya vijijini - Mbalizi. 7. Mbozi Maghari - Tunduma. 8. Mbozi Mashariki - Mlowo. 9. Kyela - Kyela. 10. Lupa - Makongorosi. 11. Busanda - Katoro. 12. Geita - Geita. 13. Chato - Chato. 14. Kwimba - Ngudu. 15. Karagwe - Kayanga. 16. Bukombe - Ushirombo. 17. Sengerema - Sengerema. 18. Tarime - Tarime. 19. Tarime - Sirari mji mdogo. 20. Rorya - Shirati ( 7/2). 21. Bunda - Bunda. 22. Serengeti - Mugumu 10/10 ( CUF 3). 23. Kahama - Kahama. 24. Bariadi - Bariadi ( 49/43). 25. Kilombero - Ifakara. 26. Magu - Magu. 27. Mbozi - Vwawa. Sehemu zote hizo CCM ndio chama cha upinzani."
 
Mkuu kanuni zinabana sana hapa jf. Hustahili hata kukosolewa kistaarabu! Hivi kule facebook unatumia id gani au umeweka huu upuuzi kwenye group gan nkufuate huko huko!

Huyu mtoa mada ameletasiasa za 1995 nilikua temeke enzi hizo kulikuwa na wanasiasa wa ajabu sana kina cheyo kina sisko mtiro na jamaa mmoja maneno mengi kutoka cuf akasajiliwa na ccm katibu mwenezi alikuwa anachekesha sana. Naona jamaa anatuonesha slow motion ya 1995
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.
wamekutoa lini mirembe mkuu bado hujapona ukichaa wako.
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.
Ha ha ha ha we ni mwandani wa Tegeta escrow account?
 
Back
Top Bottom