UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.

Peleka kichaa chako Mirembe. watanzania wa leo hawana mtindio wa ubongo kama wewe
 
Yani ningekuwa na uwezo ningempa huyu muanzisha mada matusi yote yaliyowahi kutokea duniani kwa upuuzi wake alioandika hapo. ila basi tu kwa sababu sijapata nafasi hiyo.but the man is real st.pid!
 
Kama la Zitto halikuiyumbisha CHADEMA na mpaka anataka arudi, hakuna kitakacho rudisha nyuma nguvu hii ya umma. Umma umeshang'amua, mtakuja na propaganda kibao za kutunga ila nguvu ya Mungu haizuiwi kwa nguvu ya shetani. Poleni, kaje na lingine.
Mwambie it is too late, hawezi kuzuia mafuriko kwa viganja vyake vya mkono!
 
Mtu akiona raho inataka kuchomoka huangaika sana! mwishowe pressure inakuwa kubwa anaachia kila kitu!
 
Kitu gani kilichobakia ambacho CCM haijauza? Hebu tuambie rasilimali gani ambayo haijauzwa ambayo UKAWA watakuja kuiuza. Tunasubiria kuona walioiuza nchi wakinyea ndoo au kukimbilia uhamishoni.
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.

CCM.jpg Maisha bora kwa kila mtanzania.jpg
Wewe ni yupi kati ya hizi picha 2
View attachment 212205 View attachment 212206 4.jpeg
Unazungumzia fujo ndani ya nchi vipi hawa wanaodundana ni UKAWA?
wakina mama.jpg
Je hawa wakina mama haya yanayowakuta yamesababishwa na UKAWA?
 
Kweni alichosema na yy si ndiyo mtazamo wake,kweni ww kuwaamini aliyewasema umeingia mioyoni mwao ukajua wanawaza nini wakichukua nchi?hakuna aneyeweza kujiaminisha kwa mwanasiasa kua atafanya hiki na kile bwana

Kama wewe ulivyojiaminisha kwa tezi dume na ccm yake inayozama kuzimu! Bora vasco da gama wetu anayezurula ovyo duniani na kujifanya ombaomba ati?
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.
Rasilimali zinazochukuliwa sasa kuna makubaliano gani?
 
mleta mada hujitambui kabisa, anyway tunawaelewa akili iliyodhoofu ya wanufaikaji wa u-twawala wa magamba ndo maana hamuishi kutapatapa!
 
Ukawa majanga kweli watupishe hatuna mpango nao kabisa.

Si mkubali kushindwa? Ndo tatizo la kutegemea kitu kimoja kukupatia riziki maana wanaokupa vijisenti uwapambe ndo haooooooo.....! wanaishia shimoni,na wewe kufa lwako hakuna wa kukulaumu.
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.

Hivi, what is the point of saying ".... Soon nitaupload..." Kama kweli upo serious kwa nini usiupload as part of your post? Ndio maana most of the times watanzania hatuaminiki! Tunapenda sifa na kujenga hype ya baseless issues! Maybe you really have the stuff u r trying to say but, REALLY?! binafsi sioni sababu ya kupost kitu na kusema subirini kesho nitatoa evidence zaidi! Stop wasting your time and ours, nenda kaondoe umasikini wa watanzania.
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.

Hivi nikuulize kwanza wewe hizi safari za nje za Kikwete ambazo mpaka sasa ni zaidi ya 300, huwa anaenda kuomba nini au kufanya nini? Maana hata sisi huwa tunasema apunguze safari za nje ili awatumikie wananchi. Au unadhani safari zote hizo ni kwa ajili ya tezi dume tu? Hii ni propaganda ya nyani haoni kundule. Mshitukie kwanza mzee wa tezi dume ndio uruke kwingine.
 
Ili kutenda haki na kudumisha demokrasia na kusaidia serikali weka hapa ushahidi wako mkuu.
Mkanda wa ugaidi wa Mwigulu vipi tayari ashaupeleka kwa Mungu?
Vile visu vilivyojaa kontena vya kafu kesi yake ilifunguliwa? Na imeishia wapi.
Mauwaji wa watanzania ktk mikutano ya CDM vipi watuhumiwa wamepatikana?
Hivi nilisikia ishu ya Ulimboka kuteswa sana bila kumsahau Kibanda- hivi hawa nao watesaji wao walishakamatwa? Au takwimu za gazeti la ----------- halikusaidia kuwapata watesaji wa ulimboka?
Pia redio imani na gazeti ......( nimelisahau) walivyofungiwa kwa uchochezi. Je nape nae kafungiwa baada ya kuwaambia wananchi pale mtambani akifumga kampeni za uchaguzi kuwa dreenguard wawatandike kidogo wapinzani. Je yule katibu wa CCM aliyesema kwenye kampeni kuwa Vicenti na Mshika wake wa CDM wauwawe ameshafungulia kesi za jinai? Au wote huo sio uchochezi.
Yapo mengi ila ngoja nisaze na akiba ya kesho ila ujumbe HATUDANGANYIKI??????????????? Mkajipange upyaaaaaa
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.


maramla Ama kweli WATANGANYIKA wa KARNE hii hawajui WORLD POLITICS hata kidogo... ENZI za NYERERE walikuwa hawana TV; International News; International Broadcasters lakini Mwananchi alikuwa anajua hiyo POLITICAL SCIENCE anapomaliza DARASA LA SABA TU...

Sasa hivi huyu Mwananchi ana kila kitu hadi FACEBOOK kuwasiliana papo kwa hapo na Raia Mwingine popote pale Duniani; ISTAGRAM kuona sura za watu - lakini bado akilini hatupati mantiki ya kujua ni nini wasaa ya huyo unayeongea nae...?

Rais wetu anasafiri zaidi ya alivyokuwa Rais wetu wa kwanza... Hapo pia utasita kujua nani alipata Marafiki wa neema kwa nchi yetu... na nani aliweza kutumia mafungu ya FEDHA adimu za kigeni za nchi hii...

Leo hii Unaangalia Upande wa pili wa shafu lako Unawaona Wanaomba Ushauri kama vile Rais anavyokwenda nje kuomba Ushauri - Unashituka - Unaona Haifai ni kwavije ???? wewe basi sio Mwanademokrasia ni Mshabiki...
 
Back
Top Bottom