UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

Mkuu hizi propoganda mmeshachalewa....tuliwasikiliza sana..lakini baadaye tukagundua sisi ndo wajinga.....I say...hatudanganyiki tena!

rasilimali zipi hizo mkuu unazozizungumzia?manake kwa utaratibu huu wa ccm sidhani km kuna kilichosalia labda ambacho hakijagundulika mpk sasa otherwise ccm walikwisha filisi nchi hii zamani sana,kuanzia walipoanza kuuza vitalu vya uwindaji kule loliondo,kusafirisha wanyama hai mpk kusaini mikataba 17 ya siri kati ya TZ na China wewe unategemea kabisa kutakuwa na kitu kilichosalia cha kuuzwa na ukawa?acha unafiki fikiri kwa kutumia kichwa na sio tumbo
 
Ukawa majanga kweli watupishe hatuna mpango nao kabisa.
 
Ndio uzuri wa demokrasia maana hata ujinga kama wako unaweza kusema bila aibu wala wasiwasi
 
waambie na wenzio kwamba CCM tumeshawachoka - UKAWA 2015, hili halina mjadala!!!
 
Acha kutuonyesha ujinga wako . Dunia ya leo wewe ni takataka ktkt ya madampo ya Spenko Vingunguti, na Pugu kinyamwezi. Eti umekaa name kutafakari , kwa akili ipi ya kuweza kufanya tafakuri? Wakati mwingine jitahidini kujua nini uwezo wenu kabla ya kujianika kwenye jamii.

Kweni alichosema na yy si ndiyo mtazamo wake,kweni ww kuwaamini aliyewasema umeingia mioyoni mwao ukajua wanawaza nini wakichukua nchi?hakuna aneyeweza kujiaminisha kwa mwanasiasa kua atafanya hiki na kile bwana
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.

Umechelewa sana
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.

Ni nani huyo aliekwambia umoja wa WaTanzania umeletwa na serikali moja ? Umoja gani huo ambao wengine hugawana hela kwa viroba wakati wengine wanauana kwa kugombea ardhi umoja gani huo unaouzungumzia ,Umoja wa waTZ ninaoujua sio huu tulionao hivi sasa ,hapa tulipo ni kila mtu na nafsi yake na ukoo wake. hebu ulizia ni nani na nani wameenda kusomea mambo ya GAs na petrol huko majuu ,wewe umo ?
 
Ukawa majanga kweli watupishe hatuna mpango nao kabisa.

Ungemwambie yule Seth mtoto mpendwa wa serkali yetu,kuwa ni majanga na atupishe kwenye nchi yetu ningekuonawa MAANA!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hili nalo jipya linatumia I'd mpya kuja na pumba.. K.enge kweli ww kawaambiwe wenzako wa lumumba.. Endeleeni kudanganya wajinga sio sisi. Kwanza we ni ke au me?? Kama ni ke ni bora ukamuhudumie mumeo muda huu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Huo ndio mpango wa chadema na zaidi wanataka kuhakikisha Tanzania inakua nchi ya kikristo na ndio maana walikua wanataka serikali 3 ili wajitenge na zanzibar ili iwe rahisi kwao kuigeuza nchi kua ya kikristo.
 
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....

Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....

sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.

Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.
Mizigo sio mawaziri tu! Hata GT wengine ni mizigo kwelikweli!
 
Nilichokifurahia na kukipenda ni kukutana na Mkuu Ritz nina imani na [MENTION]Lizabon[/MENTION] atakuja mda si mrefu.
wapi [MENTION]F. Fox[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndo naililia Tanganyika yangu dhidi ya wanasiasa uchwara wa bongo land na vibaraka wao.
Upande huu wanadai tushauzwa sisi na Tanganyika yetu,na wanyama pori wetu,na madini yetu,na gesi yetu,na kadhalika zetu.
Huyunae eti anaushaidi wa kwamba upande uleee wanatafta wateja na walanguzi ili watuuze tena!,jamanii where are you my real Tanganyikaaaa?!
 
Back
Top Bottom