Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 588
- 648
nimekaa na kutafakari sana eti mnaitaka Nchi...tena mmeenda mbali kwenda kuomba support kwenye mataifa makubwa.........In return mnataka kuwapa nini........Mkishapata hii nchi Muanze kugawana kila mtu afidie kile alichopoteza katika harakati za kuichukua Tanzania tulivu....
Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....
sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.
Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.
Mnataka kutuletea ya Libya...Mje mtufanye tuishi kwa Mashaka....Upo ushahidi wa Makubaliano Mliyoweka na Mataifa yanayotolea macho Rasilimali za Watanzania...To hell I was In support of u but after noticing this nikawafikiria ndugu zangu kue kijijini wanaotegemea Rasilimali za TZ kwenye maisha yao ya kila siku I SAID NO THANK YOU UKAWA.....
sikuelewa mantiki yenu ya kutka Serikali 3....kumbe ilikuwa ni kuuondoa umoja wa WATZ ili mfanikishe hili...kwa Urahissi.
Soon nitaapload Mzigo hapa tuone Mkakati wenu wakuiuza hii nchi.