UKAWA tufanye marekebisho haraka

UKAWA tufanye marekebisho haraka

afsa

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
1,986
Reaction score
1,592
Kuna baadhi ya majimbo na mgombea mmoja mmoja wa ukawa tumekosea.

Jimbo kama la Bukene-Nzega hakuna mgombea wa CUF ila CHADEMA wako vizuri.

Jimbo la Nzega vijijini CUF hawakubaliki ila wameweka mgombea.

Nkumba akatwe hakubaliki jimboni.
Aachiwe aliyeshinda.

Ansibert Ngurumo hakubaliki

Tuache u CCM tukumbuke yaliyotokea kule kalenga wakati wa uchaguzi mdogo.

Maoni ya wananchi yaheshimiwe.
 
Kwenye Muungano wa Ukawa kuna changamoto nyingi mkuu, tuvumiliane tu
 
Nikweli Hansbert hakubaliki kama yule dogo. Kwa majimbo Hayo chadema imefanya uccm
 
Viongozi wanajua lililo na maslahi na Chama. kuweni watiifu
 
Sometimes I think to lose something you love helps you to gain best things
 
Yaani kwa kweli kujipanga mhimu,maana ngoma nzito,tofauti na kuridhishwa na wanogesha genge mikutanoni wale wanakuja kushangaa mengi na haina maana kuwa wote wapiga kura
 
Yaani kwa kweli kujipanga mhimu,maana ngoma nzito,tofauti na kuridhishwa na wanogesha genge mikutanoni wale wanakuja kushangaa mengi na haina maana kuwa wote wapiga kura

Bora we umeliona waambie basi maana wemgine tukiwashauri wanatuona maadui.
 
Itilima huyu namba mbili kweli ametumia pesa za tajiri anayegombea kupitia CCM na akahonga juu ili jina lake lirudishwe wakati alikiwa namba mbili...ama kweli Chadema hapa mlichemka, jimbo mnataka kuliachia wakati lilikuwa wazi baada ya Cheyo kumwachia Makondo? Nadhani sana mtafanya kweli baada ya CUF kuamua kumchukua mgombe huyo...na EL kawatahadhalisha chukueni mmoja anayekubalika mshinde siyo urais tu bali wabunge na madiwani
 
Back
Top Bottom