Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,994
Mimi nilijua humu ntakuwa nakutana na mapicha ya Njombe na Iringa yakiwa na quality nzuri na kupigwa toka angle nzuri. Cha ajabu nakuta picha za tecno zenye gizagiza.
Hivi hamna wapiga picha professional?. Pia kitengo chenu cha kampeni mitandaoni either ni incompetent au kinawahujumu. Pengine hamna kabisa!
Hivi hamna wapiga picha professional?. Pia kitengo chenu cha kampeni mitandaoni either ni incompetent au kinawahujumu. Pengine hamna kabisa!