UKAWA sioni atakayepata jimbo

UKAWA sioni atakayepata jimbo

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia
 
Unatujazia tu serve kwa habari za u tu mbo kabisa!Viajana punguzeni viroba maana vinafifisha sana uwezo wa kufikiri!Ona sasa ulicho andika madudu matupu wala hueleweki!!

Nipo Kyela UKAWA wanasubiri tu kuapishwa kuchukua Jimbo
 
unalosema ni kweli lakini unawachokoza wanywa viroba sikia matusi yatakavyoporomoshwa
 
Ukawa sasa wanawaza pesa ya penshen wakale tu ,ni dhambi kubwa kuchagua ukawa
 
Kupatwa na matatizo ya akili sio lazima kutembea uchi.

Hii research imefanyika wapi na kwa data zipi?
 
Daah hkk Jf ni sehmu y kupotezea mawazo ssa mtu anaandka upuuzi kma huu 😀
 

Attachments

  • 1434274193602.jpg
    1434274193602.jpg
    34.8 KB · Views: 704
Ma...Adm huupuzi mnauacha was nini akili ndogo bwana
 
Hahaha kumbe Tundu Lisu jimbo. Lake HAI?
asante kwa kutuhabarisha
 
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia

Join Date : 7th June 2015
Posts : 25
Rep Power : 306
Likes Received: 8
Likes Given: 0
 
hizi pumba peleka lumumba eti hai anatoka lissu.unatujazia server kwa ujinga wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom