UKAWA sioni atakayepata jimbo

UKAWA sioni atakayepata jimbo

Kuna watu wanafikiri kwa kutumia ubongo wa watu wengine, mtoa mada anatumia ubongo wa fisadi moja huko kwenye chama la mafisi kufikiri.
 
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia
lete rekodi za uchaguzi serikali za mitaa
 
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia

Hivi unaposikia Lumumba hulipa buku saba kwa kila post ya kuukandia ukawa inayotumwa humu jamvini nawe ukadhani una uwezo huo? Hivi hata ukirudia kusoma ulichokiandika mwenyewe kinaeleweka? Hivi hayo majimbo unayodai kuyatembelea likiwemo na jimbo la Hai ulilokuta likiongozwa na mh.Tundulisu ulikuwa ukijitambulisha kama nani? Bila shaka ulitembelea na jimbo la Singida Mashariki na kufahamishwa linaongozwa na mh. Freeman Mbowe. Kwa uelewa huu sipati picha yule mtia nia ya uraisi wa darasa la saba wa chama chenu toka Kasulu atajielezaje na kuyajibu maswali ya waandishi na wananchi. Nakushauri endelea kutafuta vibarua mitaani Lumumba hawalipi vitu kama hivi.
 
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia
Hahaha watu wengine wanakuwa kama wanaongea kupitia makalio! Lini graph ya Chadema ikashuka? Na sasa ni ukawa? Unaota
 
Enyi moderators mturudishie jamii forum iwe kama ile ya zamani, kwa sasa naona mtu anaposti ujinga ujinga halafu uzi wake unaachwa
 
ccm mwaka huu bila kubebwa na polis wana wakati mgumu sana kwenye uchaguzi...
 
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia



ujinga mtupu,Tundu ni wa jimbo la Hai?kweli?
 
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia

je wakipata uko tayari kuwapa?
 
............ Jinsi kijana anavyobadili tabia, inavyoonekana amesahau mila za mtanzania...........
 
wewe huna uelewa wa kutosha mpaka hapo ulipofikia, Tundu Lisu ni mbunge wa Hai kama ulivoandika? watu wengine mngekuwa mnaacha kuandika humu, maana ni wajinga mno..
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia
 
Kila nikipitia pitia medani za Siasa kwa bara sijaoni chama ambacho kitapata jimbo hata haya majimbo wanaomalizia octoba sioni hata mmoja kupata jimbo hata kama watapata nafikiri jimbo moja au mawili.

Kwa maana nimepita kwenye hayo majimbo yalioshikwa na upinzani wanalalamika kwa kusema hakuna mabadiliko yoyote na ndio hali imekuwa hovyo kabisa kama jimbo la hai anapotoka tundu mwanza mjini yote mbeya mjini tunduma nk kila mara tunashawishiwa kufanya vurugu eti ndio tutapata huduma Serikalini.

Kumbe Serikali inautaratibu wake itakafikia ndio itashighurikia
Dah! Mkuu kumbe umejiunga tarehe 7/6/2015. hata mwezi haujaisha unapost utumbo hivyo! Uwiiiii sijui mwezi ukiisha hali itakuwaje.
Kingine ni kwamba hicho ulichoandika ni woga unatafuta kujifariji bure mkuu. na jinsi ambavyo hujielewi unatuambia Jimbo la Hai ni la Tundu Lissu? Mmmmmmmm! aliyekutuma atakudai hela zake, umeshindwa kumfanyia kazi yake vizuri.
 
inaeleweka tundu lisu singida ukisema hai ni mkuu wenu wa chama mbowe(chasaka)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom