UKAWA sasa IKAWA?

Tunaipenda sana Tanzania kuliko unavyofikiria, Tuache na UKAWA yetu, Tunahitaji mabadiliko ya utawala, Tunahitaji

rasmu ya Jaji Warioba irejeshwe ili tupate katiba mpya; haya yote yanawezekana ikiwa watanzania tutazidi kujitambua

kuwafahamisha wale ambao hawajui umaskini tulio nao umetokana na usimamizi mbovu wa resources na utawala wa

kupeena vyeo.

MMM jiulize kwanini nchi kama Kenya inapaa kiuchumi kuliko sisi,? Rwanda wametoka kwenye vita miaka ya 1990s

leo ina ndege zinazopishana kwenda nje ya mipaka ya Rwanda, kwanini ss tumeshindwa?Jiunge nasi kuing'oa ccm
 

Kama Kikwete aliweza kuwa raisi wa nchi hii, hao uliowataja hapo juu wana uwezo mara dufu (kuliko huyo boss wa wacheza kigodoro) wa kuwa raisi wa Tanzania, achilia mbali uwaziri.
 

Hapo hakuna cha UKAWA wala UPAWA ni uhuni kwa kwenda mbele. Mie nawashangaa CCM kwa kuwafumbia macho na kuwakuza kwa kuwaita ukawa. Hao ni Umoja wa Kaskazini na Wachaga.
 
Awali waliunda genge la kutaka kusikikika wakati wa Bunge la Katiba. Baada ya shughuli hiyo walishindwa kujipanga ili kutengeneza muungano makini na wenye tija hali inayopelekea Chadema kutumia mwanya huo kujinufaisha.
 
Ukawa ni genge na lipo hapo kwa ubabe wa Mbowe na Lowassa.!
 
Awali waliunda genge la kutaka kusikikika wakati wa Bunge la Katiba. Baada ya shughuli hiyo walishindwa kujipanga ili kutengeneza muungano makini na wenye tija hali inayopelekea Chadema kutumia mwanya huo kujinufaisha.

Imekula kwao
 

Ushauri kwako.Mimi nadhani ungetumia nguvu kama hii katika kuwalaghai watu waishio vijijini.maana huko ndiko ambako watu wengi hawana elimu ya uraia.ila nguvu unayoitumia ktk mitandao ya Jamii ambamo watu wengi wanauelewa wa kutosha sidhani kama inakusaidia.binafsi naamini kuwa unapoteza sana muda maana watu wameshaamua kufanya mabadiliko.hata uandike nini bado huwezi badilisha upepo.hivi unajisikiaje tangu umeanza harakati za kuwaponda ukawa bado watu wanazidi kumiminika ktk kampeni.la mwisho unahisi wewe ni zaidi ya slaa na lipumba?.kama hawa wameshindwa kubadili upepo utaweza wewe?.huo muda unaoutumia kuwaponda ukawa ungekuwa unatunga mashairi kuhusu umaskini wa watanzania na ungeuza sana
 
Ww sio mpiga kura wa nchi hii
Siasa za kwenye mtandao zitakupa presha bure

Viva ukawa!!!!!
 
ndumila kuwili ukiendelea kugeukageuka nyuma mwishowe utageuka kuwa jiwe la chumvi........
wew unajua nini kwanza umeishia darasa la pili na unawazo gan au hoja ipi ya maana au nitaarabu unatuandikia ?hii ni nchi ya vyama vingi bana usiongee upumbavu wako kama vile ccm imetoka mbinguni chizii nin?😕
 
ndumila kuwili ukiendelea kugeukageuka nyuma mwishowe utageuka kuwa jiwe la chumvi........

Hujui kitu demokrasia haipo unavyodhania rudi shule kasome tenaaaaa😯😯😯
 
Wenye sifa za Kuwa viongozi ni ccm peke yake kwenye hii nchi.
There comes a time in life you have to swallow that pill. Bitter, bitter pill. It is called pill "Mabadiliko".
It is the only pill in town that can cure you.
The rest of the pills are from madabida's laboratories.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…