Mwl. Kaijage
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 216
- 214
Nashangaa sana eti UKAWA itasimamisha mgombea mmoja ktk majimbo ya uchaguzi. Hiki kitu kamwe ni mbio za sakafuni,umoja huu wa viongozi wa ngazi ya taifa kamwe hauwezi kufanikiwa kwa sababu haukushirikisha viongozi wa ngazi za chini wa vyama vyao.
Kwani hata serikali za mitaa walishindwa kudhibitisha dhana ya umoja huo wa viongozi.
Hivi inaingia akilini kwamba Chadema wanaweza kukubali kuwa Prof. Lipumba awe mgombea wa umoja huu wa viongozi,kamwe huo ndio utakuwa mwisho wa umoja huu wa viongozi.
Kwani hata serikali za mitaa walishindwa kudhibitisha dhana ya umoja huo wa viongozi.
Hivi inaingia akilini kwamba Chadema wanaweza kukubali kuwa Prof. Lipumba awe mgombea wa umoja huu wa viongozi,kamwe huo ndio utakuwa mwisho wa umoja huu wa viongozi.