UKAWA ndani ya jiji la Arusha

UKAWA ndani ya jiji la Arusha

Naona msafara wa Dr.Slaa na gari la matangazo ndio unaingia jiji la Arusha. Tayari kwa mkutano utakaofanyika leo saa tisa katika viwanja vya samunge. Mzee Slaa akiwa ndani ya gari aina ya landcruiser nyeupe. Anaonekana mdhoofu wa mwili. Huku akijaribu kuwapungia wananchi ambao hawakuwa na hamasa ya kumpungia pia.
Arusha ya sasa sio ile zamani watu hawana muda na Chadema. Kila mmoja yuko bize na kutafuta riziki yake.
Bora umeamua kuw reporter wa UKAWA!Umeona matokeo ya india?BJP 142 seats Congress 21 Seats,jiandaeni kukimbia nchi
 
Bora umeamua kuw reporter wa UKAWA!Umeona matokeo ya india?BJP 142 seats Congress 21 Seats,jiandaeni kukimbia nchi
Habari za bara la hindi hazituhusu sana.Turudi hapa hapa Africa. Uliyaona matokeo ya Africa kusini?
 
Hebu tuambie siku hizi Slaa na cdm wameahamia UKAWA, nauliza sielewi maana Nabii Steven Wasira hadi 2015 hamtaisikia tena cdm, na mie naanza kuamini kwani M4C-Chaddema, peoples power wala sangara sivisikii siku hizi. Kweli Wasira kiboko
 
Back
Top Bottom