Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,903
- 28,042
Nipo maeneo ya Makao mapya watu wanashahuku kubwa sana.....Watu wanajiandaa kwenda Kilombero.....
Ni raha tupu
Ni raha tupu
Mkuu Chopa inazunguka Jiji lote la Arusha...
Watu wanaruka kwa shangwe huku vidole vitatu vikipamba anga....
Naona msafara wa Dr.Slaa na gari la matangazo ndio unaingia jiji la Arusha. Tayari kwa mkutano utakaofanyika leo saa tisa katika viwanja vya samunge. Mzee Slaa akiwa ndani ya gari aina ya landcruiser nyeupe. Anaonekana mdhoofu wa mwili. Huku akijaribu kuwapungia wananchi ambao hawakuwa na hamasa ya kumpungia pia.
Arusha ya sasa sio ile zamani watu hawana muda na Chadema. Kila mmoja yuko bize na kutafuta riziki yake.
Nipo maeneo ya Makao mapya watu wanashahuku kubwa sana.....Watu wanajiandaa kwenda Kilombero.....
Ni raha tupu
msimamo wetu wana arusha ni serikali mbili tu
Halafu CHADEMA wana ushamba flani hivi. Wakiwa kwenye mamisafara yao. Kila wanayemuona wanadhani ni mwenzao wanaanza kumuonyeshea vidole viwili. Inaudhi sana.Huwezi ukajiita MSALANI halafu mambo yako yakatofautiana na mambo ya chooni.
vibaka wanashangilia na viroba vyao mkononi
makubwa tangu lini na wewe umekuwa ukiripoti habari za chadema?
Ofisi leo zimefungwa mapema mno....Watu wana miminika viwanja vya Samunge....
Watu wanahamasa sana..
Halafu CHADEMA wana ushamba flani hivi. Wakiwa kwenye mamisafara yao. Kila wanayemuona wanadhani ni mwenzao wanaanza kumuonyeshea vidole viwili. Inaudhi sana.
wamefunga ofisi wanaogopa vibaka wa chadema
Halafu CHADEMA wana ushamba flani hivi. Wakiwa kwenye mamisafara yao. Kila wanayemuona wanadhani ni mwenzao wanaanza kumuonyeshea vidole viwili. Inaudhi sana.
Mimi nimeripoti tu hali halisi hayo mengine ni tafsiri yako tu.
Arusha yote ni Chadema......Vidole viwili ndo alama ya mkoa wa Arusha....