MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Naona msafara wa Dr.Slaa na gari la matangazo ndio unaingia jiji la Arusha. Tayari kwa mkutano utakaofanyika leo saa tisa katika viwanja vya samunge. Mzee Slaa akiwa ndani ya gari aina ya landcruiser nyeupe. Anaonekana mdhoofu wa mwili. Huku akijaribu kuwapungia wananchi ambao hawakuwa na hamasa ya kumpungia pia.
Arusha ya sasa sio ile zamani watu hawana muda na Chadema. Kila mmoja yuko bize na kutafuta riziki yake.
Arusha ya sasa sio ile zamani watu hawana muda na Chadema. Kila mmoja yuko bize na kutafuta riziki yake.