UKAWA ndani ya Arusha tarehe 16/5/2014 - usikose

UKAWA ndani ya Arusha tarehe 16/5/2014 - usikose

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
umoja wa kutetea katiba ya wananchi ukawa wametoa ratiba inayoonyesha tarehe 16.5.2014 watakuwa Arusha kwenye uwanja wa ngarenaro shule ya msingi kabla ya mkutano kutakuwa na maandamano makubwa yatakayo anzia Philips,Arusha-moshi road
East Africa
Polisi line
Mwenge stend kuu hadi viwanja vya kilombero/ngarenaro...
njooni tudai katiba ya wananchi na siyo katiba ya majangili kama inayo ng'ang'aniwa na baadhi ya wabunge wa chama cha Mapinduzi kwa maelekeo ya mtu mmoja kikwete..
 
Asante kwa taarifa kamanda, nipo hapa karibu na ofisi ya ccm mzee moja gamba analaumu hovyo hovyo tu, haamini kama UKAWA wameiteka Tanganyika na Zanzibar
 
Chadema. Baada ya kupoteza umaarufu imebadili jina sasa inaitwa ukawa
 
wataelewa tu tanganyika ikirudi watasema hata wao wamesaidia kurudi hivyo wao ni watanganyika
 
Hatuwezi kuruhusu maandamano ya kijinga kijinga tena katika mji wetu, mmetuulia ndugu zetu wengi, sasa Inatosha. Ole wake atakayetia mguu barabarani eti anaandamana. Cha moto atakiona. Safari hii wananchi tutaungana na Polisi kuwashikisha adabu.
 
Hatuwezi kuruhusu maandamano ya kijinga kijinga tena katika mji wetu, mmetuulia ndugu zetu wengi, sasa Inatosha. Ole wake atakayetia mguu barabarani eti anaandamana. Cha moto atakiona. Safari hii wananchi tutaungana na Polisi kuwashikisha adabu.

Utapambana kutokea msalani au? Siku ile ya uchaguzi sombetini nilikuona umejibanza kwenye kona ya baa, mara ukatoka ukaenda arusha raha na ulipoona vijana wakishangilia ukatoka nduki kurudi maskani kwako ngusero hahaaaa niakasema kweli hiki baba jioga, , leo unasema utamshikisha mtu adabu!! Wewe?
 
Hatuwezi kuruhusu maandamano ya kijinga kijinga tena katika mji wetu, mmetuulia ndugu zetu wengi, sasa Inatosha. Ole wake atakayetia mguu barabarani eti anaandamana. Cha moto atakiona. Safari hii wananchi tutaungana na Polisi kuwashikisha adabu.

nenda chooni!!...
 
Asante kwa taarifa kamanda, nipo hapa karibu na ofisi ya ccm mzee moja gamba analaumu hovyo hovyo tu, haamini kama UKAWA wameiteka Tanganyika na Zanzibar

mwambie atulize mshono..
 
Hatuwezi kuruhusu maandamano ya kijinga kijinga tena katika mji wetu, mmetuulia ndugu zetu wengi, sasa Inatosha. Ole wake atakayetia mguu barabarani eti anaandamana. Cha moto atakiona. Safari hii wananchi tutaungana na Polisi kuwashikisha adabu.

wananchi wakiamua hakuna wa kuwazuia huo ujinga wako na hao polisi mgeutumia kuzuia tembo wasiuliwe au twiga wasisafirishwe kama mnavyosafirisha sembe..
 
Hatuwezi kuruhusu maandamano ya kijinga kijinga tena katika mji wetu, mmetuulia ndugu zetu wengi, sasa Inatosha. Ole wake atakayetia mguu barabarani eti anaandamana. Cha moto atakiona. Safari hii wananchi tutaungana na Polisi kuwashikisha adabu.

Kweli we CHOO
 
Back
Top Bottom