UKAWA, nazi haishindani na jiwe

UKAWA, nazi haishindani na jiwe

Tatizo hata wakiwa bungeni hawasikilizwi sasa kuna haja gani kuwepo bungeni? Hao wabunge wa ccm wapo bungeni kwa miaka 54 lakini nini la maana wanalolifanya zaidi ya ndio mzee na kuwa kejeli wapinzani tu.
Kwa hiyo kumbe huwa wanashinda wamelala bungeni? teh teh teh ..hii Kali sana. Kama vipi waingie na mic zao special
 
UKAWA wamekuwa ukiwa. Hovyo kabisa.
 
Nani kakuambia kuwa matatizo yenu yatatuliwa mtu akiwa "humo mjengoni?"

Ama kweli akili zako hizo za kiCCM zimetopotea na kuishia kuwaza mjengo wa bunge tu kana kwamba chanzo cha maendeleo yako ni kuwa mjengo
Shida hii jf imevamiwa na watu waliokimbia umande, tulipokuwa tunaamka asubuhi wenzenu mlikuwa mnatuchukuliaje?



Ohooooo kama mjengoni hakuna umuhimu kwa nini tupoteze mabilioni ya shilingi kutenga bajeti ya bunge???? Shida hii jf

zi shule mnazosoma sijui huwa mnaenda kusomea ujinga au nini tu!!
 
Nibora walivyo toka maana hawana jipya zaidi ya kuropoka tu
 
Tusikate tamaa, tusonge mbele, hata Nelson Mandela hakukata tamaa. Kwanini vijana tunachoka mapema hivo?
 
Nani kakuambia kuwa matatizo yenu yatatuliwa mtu akiwa "humo mjengoni?"

Ama kweli akili zako hizo za kiCCM zimetopotea na kuishia kuwaza mjengo wa bunge tu kana kwamba chanzo cha maendeleo yako ni kuwa mjengoni!!

Hizi shule mnazosoma sijui huwa mnaenda kusomea ujinga au nini tu!!
Nani kakuambia kuwa matatizo yenu yatatuliwa mtu akiwa "humo mjengoni?"

Ama kweli akili zako hizo za kiCCM zimetopotea na kuishia kuwaza mjengo wa bunge tu kana kwamba chanzo cha maendeleo yako ni kuwa mjengoni!!

Hizi shule mnazosoma sijui huwa mnaenda kusomea ujinga au nini tu!!
Nani kakuambia kuwa matatizo yenu yatatuliwa mtu akiwa "humo mjengoni?"

Ama kweli akili zako hizo za kiCCM zimetopotea na kuishia kuwaza mjengo wa bunge tu kana kwamba chanzo cha maendeleo yako ni kuwa mjengoni!!

Hizi shule mnazosoma sijui huwa mnaenda kusomea ujinga au nini tu!!
ohoooo wewe hujiulizi kwa nini ule mjengo unatengewa mabilioni ya shilingi kama huna umuhimu wa wabunge kukutana pale, tell me nchi gani duniani hakuna ukumbi wa bunge, tatizo la kukimbia umande ndo hili wenzenu tulivyokuwa tunaamka asubuhi mlidhani tunakimbilia kuokota maembe
Nani kakuambia kuwa matatizo yenu yatatuliwa mtu akiwa "humo mjengoni?"

Ama kweli akili zako hizo za kiCCM zimetopotea na kuishia kuwaza mjengo wa bunge tu kana kwamba chanzo cha maendeleo yako ni kuwa mjengoni!!

Hizi shule mnazosoma sijui huwa mnaenda kusomea ujinga au nini tu!!
 
Institution yeyote haiwez kuongozwa na mtoro shuleni, mkabila, mpiga dili, mfanya Biashara kupitia mgongo wa siasa, ikashamiri, hivo UKAWA ni kamradi ka jamaa mmoja ambaye anajua anachofanya wengine ni fuata upepo

Disco jockey[emoji23][emoji23]
 
Sasa hivi elimu bure rudi darasani ukajifunze kazi za bunge. Kwa ushauri qt inakuhusu sana tuuu

Absolutely nonsense, wakiwa ndani bila influence au mchango it is simply useless, walipoingia kwenye bunge la Katiba uliongezeka nini? They are not there to say yes sir... They are there to be given chance to speak and have fair ruling.
 
Absolutely nonsense, wakiwa ndani bila influence au mchango it is simply useless, walipoingia kwenye bunge la Katiba uliongezeka nini? They are not there to say yes sir... They are there to be given chance to speak and have fair ruling.
sasa wagome wagome kugombea majimboni kama hawas
Absolutely nonsense, wakiwa ndani bila influence au mchango it is simply useless, walipoingia kwenye bunge la Katiba uliongezeka nini? They are not there to say yes sir... They are there to be given chance to speak and have fair ruling.[/QUOTE
Sasa unaonaje kama wakigoma kugombea na Kule majimboni kama walivyofanya wenzao kule Zanzibar kama kweli hawasikilizwi manake hakuna namna, au we unaonaje?
Absolutely nonsense, wakiwa ndani bila influence au mchango it is simply useless, walipoingia kwenye bunge la Katiba uliongezeka nini? They are not there to say yes sir... They are there to be given chance to speak and have fair ruling.
 
ebu nitajie anaesikilizwa bungeni kwa kusema matatizo ya wananchi akasikilizwa? kama ni wabunge wa ccm wako pale kwa kusema ndioooo!!!!!!!!!!!! tu, ndio maana mtamuona mbunge wa ccm analalamika sana lakini mwisho wake anatakiwa kuunga mkono hoja tena kwa asilimia mia. ni wabunge wa upinzani tu ndio wana ubavu wa kugomea jambo ila inashindikana pale wabunge wa ndiooooo!!!!!!!!!! wanapotekeleza maelekezo ya chama chao kinachowataka waseme ndiooo!!!!!!!! kwa kila hoja
 
Tatizo hata wakiwa bungeni hawasikilizwi sasa kuna haja gani kuwepo bungeni? Hao wabunge wa ccm wapo bungeni kwa miaka 54 lakini nini la maana wanalolifanya zaidi ya ndio mzee na kuwa kejeli wapinzani tu.

Acha uongo we kijana hawasikikizwi kivip?
 
Kwa mfano rais alitoa maekekezo ya kuchangia madawati nchi nxima lakin ukawa hakuna hata mmoja anayetekeleza hilo kwa vitendo lakn suala la wanafunxi wa udom walikesha bala balan. Sasa yap mazr wanayoyataka... Hii ni kwa mfano tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom