jun255
JF-Expert Member
- Nov 14, 2015
- 391
- 280
YA ZANZIBAR NA CHAMA CHANGU HUKO UKAWA NA VIROBA VYAO
Uchaguzi wa Zanzibar ulifanyika kwa amani na kumalizika kwa amani na pia niwasifu Wazanzibar kwa kudumisha aman mpaka muda huu kitu ambacho hakuna aliyekitarajia.
Pili nisifu chama cha wananchi kwa kuwa wastaarabu mpaka sasa kwa sababu ingekuwa ni CHADEMA mpaka sasa pangeshachimbika.
Lakini hapa sasa tuweke mapenzi ya chama na kuongea ukweli kwa ajili ya watanzania wenzetu wa visiwani!
Unapokuwa kwenye mpambano kuna kushindwa na kushinda na siku zote lazima ujiandae kisaikolojia kwa lolote,na pale mwenzio anapokushinda haijalishi ni mbinu gani katumia lazima ukubali.
Cuf wameshinda huko Zanzibar,nakiomba chama changu kikubali matokeo na kuunda serikali ya kitaifa ikiongozwa na Cuf! Kukubali kushindwa sio dhambi!
Hata kama Cuf watakuwa wametumia mbinu chafu ni sawa tu kwani round hii wametuzid ujanja! Tunapokataa kuwatangaza hebu tujiulize nafsi zetu ingekuwa sisi ndo tumeshinda hata kwa mbinu chafu tungekubali kufutwa uchaguzi?? Jibu ni hapana!!
Je sehemu zote tunazotangazwa washindi huwa tumeshinda kiharali? Jibu tunalijua!! Hivyo tukiri tu kuwa mwaka huu tuliweka nguvu kubwa kupambana na Lowasa na kusahau Zanzibar na wenzetu wakatumia nafasi hiyo kutuchezea kete na kutushinda!
Kwa heshima ya chama chetu tukubali kushindwa na kujipanga upya!! Tupunguze ubabe tafadhali.
Upande wa pili kwa wanywa viroba wananishangaza sana!!
Juzi bungeni walifanya kitu kilichoniacha mdomo wazi! Kupiga makelele kama wavuta bangi mpaka kuondolewa.
Ukikaa nao utasikia hili bunge sio halali kwa sababu ni la Tanganyika na halishilikishi wazanzibar! Kweli??? Kitu kama sio halali upo unafanya nini? Mngezila tangu mwanzo wa bunge basi!!
hivi kuna posho ilitolewa ya vikao vya juzi??? Mlipokea posho ya bunge lisilo halali? Acheni kulaghai wananchi!!
Nyie mmetumwa kuwawakilisha wananchi na sio kukimbia bunge! Bunge ni halali na serikali iliyoko madarakani ni halali ndo maana mnahudhulia na kupokea posho!
Kama tatizo ni Shein kwanini msifate taratibu zinazotakiwa kuliko kupiga makelele kama walevi? Hivi wananchi wanawaonaje?
Tatizo la Chadema ni uoga na kujaa ujinga! Watu wamekuwa wanamuogopa Mbowe kama Mungu wao huku wakiogopa kuitwa wasaliti! Hata kuhoji hakuna? Atakachosema mnafata tu kama nyumbu bila kuhoji???
Badilisheni chama chenu kutoka katika umiliki wa mtu mmoja na kuwa cha watanzania ili japo mshawishi watu kukipenda! Tofauti na hivyo hakuna siku mtashika dola mpaka Mbowe akifa"!
Nawasilisha!!!
Uchaguzi wa Zanzibar ulifanyika kwa amani na kumalizika kwa amani na pia niwasifu Wazanzibar kwa kudumisha aman mpaka muda huu kitu ambacho hakuna aliyekitarajia.
Pili nisifu chama cha wananchi kwa kuwa wastaarabu mpaka sasa kwa sababu ingekuwa ni CHADEMA mpaka sasa pangeshachimbika.
Lakini hapa sasa tuweke mapenzi ya chama na kuongea ukweli kwa ajili ya watanzania wenzetu wa visiwani!
Unapokuwa kwenye mpambano kuna kushindwa na kushinda na siku zote lazima ujiandae kisaikolojia kwa lolote,na pale mwenzio anapokushinda haijalishi ni mbinu gani katumia lazima ukubali.
Cuf wameshinda huko Zanzibar,nakiomba chama changu kikubali matokeo na kuunda serikali ya kitaifa ikiongozwa na Cuf! Kukubali kushindwa sio dhambi!
Hata kama Cuf watakuwa wametumia mbinu chafu ni sawa tu kwani round hii wametuzid ujanja! Tunapokataa kuwatangaza hebu tujiulize nafsi zetu ingekuwa sisi ndo tumeshinda hata kwa mbinu chafu tungekubali kufutwa uchaguzi?? Jibu ni hapana!!
Je sehemu zote tunazotangazwa washindi huwa tumeshinda kiharali? Jibu tunalijua!! Hivyo tukiri tu kuwa mwaka huu tuliweka nguvu kubwa kupambana na Lowasa na kusahau Zanzibar na wenzetu wakatumia nafasi hiyo kutuchezea kete na kutushinda!
Kwa heshima ya chama chetu tukubali kushindwa na kujipanga upya!! Tupunguze ubabe tafadhali.
Upande wa pili kwa wanywa viroba wananishangaza sana!!
Juzi bungeni walifanya kitu kilichoniacha mdomo wazi! Kupiga makelele kama wavuta bangi mpaka kuondolewa.
Ukikaa nao utasikia hili bunge sio halali kwa sababu ni la Tanganyika na halishilikishi wazanzibar! Kweli??? Kitu kama sio halali upo unafanya nini? Mngezila tangu mwanzo wa bunge basi!!
hivi kuna posho ilitolewa ya vikao vya juzi??? Mlipokea posho ya bunge lisilo halali? Acheni kulaghai wananchi!!
Nyie mmetumwa kuwawakilisha wananchi na sio kukimbia bunge! Bunge ni halali na serikali iliyoko madarakani ni halali ndo maana mnahudhulia na kupokea posho!
Kama tatizo ni Shein kwanini msifate taratibu zinazotakiwa kuliko kupiga makelele kama walevi? Hivi wananchi wanawaonaje?
Tatizo la Chadema ni uoga na kujaa ujinga! Watu wamekuwa wanamuogopa Mbowe kama Mungu wao huku wakiogopa kuitwa wasaliti! Hata kuhoji hakuna? Atakachosema mnafata tu kama nyumbu bila kuhoji???
Badilisheni chama chenu kutoka katika umiliki wa mtu mmoja na kuwa cha watanzania ili japo mshawishi watu kukipenda! Tofauti na hivyo hakuna siku mtashika dola mpaka Mbowe akifa"!
Nawasilisha!!!