UKAWA na uongo wa mtu mzima Samuel Sitta

UKAWA na uongo wa mtu mzima Samuel Sitta

Tumaini Makene

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2012
Posts
2,650
Reaction score
6,085
Ni bahati mbaya tu kwamba kuna watu wanafikiri wanaweza kuishi kwa kupika uongo kama huu!

Unafiki wa Sitta na CCM wenzake wanataka kugeuza BMK fake linaloendelea kuwa ni kiwanda cha kutengeneza majungu na fitna zisizo msaada...

UKAWA ina uongozi wake. Ina utaratibu wake wa kusema, kuwasiliana na umma na kutoa taarifa au habari.

Haijawahi kumteua 'ndumilakuwili' yeyote kuwa msemaji wake. Walipotoka bungeni kwa ajili ya kusimamia maslahi na matakwa ya wananchi hawakusemewa na Sitta wala mtu mwingine wa aina yake, tena kutoka CCM. Walisema wao!

Modes of Operandi ya kuendelea na mchakato huu let alone kurudi huko kama CCM wanavyotaka, wameshaitoa sasa huo uzabi zabina wa kutunga hekaya unaofanywa na watu wazima unasaidia kitu gani? Cheating their own brains for whose benefits?

Wanazungumzia posho...so what?

Hivi yupi anayefanya ufisadi wa posho au mwingine wowote in the first place kwenye huu mchakato wa katiba? Wanataka tujadili hili logically?

Mathalani hivi anayepinga rasimu nzima ya katiba baada ya mchakato uliogharimu mabilioni ya fedha, kwa sababu tu anataka aliyokuwa nayo yeye ndo yaingizwe, anaitwaje kama suala linataka kuwa rounded up kwenye posho!?!?!

Tangu lini CCM hawa hawa ambao majuzi wamekiri wenyewe kuwa serikali yao imejaa rushwa, wameanza kuumizwa sana na matumizi mabovu ambayo umekuwa msingi wao wa kuendesha serikali?

Hii ni sehemu ya danganya toto inayofanywa na watu wazima dhidi ya watu wazima wenzao eti kupinguza mori na ari itakayoanza kuamushwa kesho hapo Kibandamaiti.

Kama wanafikiria kwa kujidanganya kuwa UKAWA si lolote si chochote, mbona wanapoteza muda kuwazungumzia kuanzia wanapofungua bunge hadi wanapofunga?
 
Hii habari nilijua tu ni uhongo...nimemdharau sana Sita japo nilikuwa namuona ana hekima ila hapa ndio kanitoka kabisa...Sita kaniangusha sana.
 
hongera nyingi sana kwa UKAWA, palipo na UKAWA ni dalili ya uwepo wa MUNGU maana UKAWA ni HAKI na AMANI
 
Hajawahi kuwa independent mind...fuatilia hata aina ya watu anaoandamana nao kama watu wake wa karibu katika uongozi! Hajawahi kuwa mtu wa kuaminika katika struggle...no wonder aliwatosa wenzake kwenye CCJ kwa sababu tu alidanganywa atapewa tena uspika!

Mara ya mwisho alionesha uwezo wowote wa kusimamia jambo la wananchi hadi mwisho na matunda yakaonekana bila kuacha maswali mengi yanayohusu maslahi binafsi, ilikuwa ni lini?
 
Hizi ni dalili za uoga wa harakati zitakazoanzishwa kesho Kibandamaiti. Sasa wanatafuta namna ya kudiscourage watu.

Poor strategy. Poor them...
 
Hajawahi kuwa independent mind...fuatilia hata aina ya watu anaoandamana nao kama watu wake wa karibu katika uongozi! Hajawahi kuwa mtu wa kuaminika katika struggle...no wonder aliwatosa wenzake kwenye CCJ kwa sababu tu alidanganywa atapewa tena uspika!

Mara ya mwisho alionesha uwezo wowote wa kusimamia jambo la wananchi hadi mwisho na matunda yakaonekana bila kuacha maswali mengi yanayohusu maslahi binafsi, ilikuwa ni lini?

Upo sahihi kabisa mkuu...hii nchi yani sijui ata inaenda wapi, sio kuzuri tuendako.
 
Kama Tumaini Makene unayoyaongea ni ya kweli, basi mwenyekiti (mh.Sitta) na jopo lake ametumia kiti chake vibaya. Kwanza anapotosha uma na kuwachongea wajumbe wenzake ili wananchi wawachukie na kuwadharau. Pili, uongo huu utafanya ukwamishaji wa maridhiano wanayoyapigia chapuo kukwama. Kwakweli taarifa yake imatufanya wananchi kushindwa kuwaelewa wajumbe wote wa BUNGE hili, je wapo kule BUNGENI kwa kutuwakilisha ama kujikusanyia posho tu na liwalo na liwe.
 
Last edited by a moderator:
Si vyema sana kuwatukana hawa wazee wetu, ila nadhani ilipaswa kuwepo kanuni kuwa kabla ya mtu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti, lazima apimwe akili.
 
Hawa UKAWA ni Wendawazimu, Mashetani, Mazimwi, Majuha, Majini yasiyokuwa na huruma hata chembe kwa Watanzania, Watu wanatoka Bungeni bila kwanza kutuuliza sisi Watanzania halafu wanarudi tena bungeni kupanga foleni ya kuchukua posho. Hakika watu hawa ni maiti zinazotembea. Ni Mbwa kasoro mikia.
 
Sita ni mwongo kabisa...huyu jamaa huwa haaminiki
 
Me ninajiuliza je kesho wataendeleza mipasho !
Wanakera sana hawana hoja za msingi kama ni nazi zote mbovu !

Kuna mama mmoja kanifanya nimtukane pasipo yeye kusikia anatajiwa watu kama mzee wa magumashi wa ze comedy wenzake wakitaja jina yeye anasema yule siyo mpemba ni mtu wa kusini yule sijuwi myamwezi duh mama tahira kweli
 
Ni bahati mbaya tu kwamba kuna watu wanafikiri wanaweza kuishi kwa kupika uongo kama huu!

Unafiki wa Sitta na CCM wenzake wanataka kugeuza BMK fake linaloendelea kuwa ni kiwanda cha kutengeneza majungu na fitna zisizo msaada...

UKAWA ina uongozi wake. Ina utaratibu wake wa kusema, kuwasiliana na umma na kutoa taarifa au habari.

Haijawahi kumteua 'ndumilakuwili' yeyote kuwa msemaji wake. Walipotoka bungeni kwa ajili ya kusimamia maslahi na matakwa ya wananchi hawakusemewa na Sitta wala mtu mwingine wa aina yake, tena kutoka CCM. Walisema wao!

Modes of Operandi ya kuendelea na mchakato huu let alone kurudi huko kama CCM wanavyotaka, wameshaitoa sasa huo uzabi zabina wa kutunga hekaya unaofanywa na watu wazima unasaidia kitu gani? Cheating their own brains for whose benefits?

Wanazungumzia posho...so what?

Hivi yupi anayefanya ufisadi wa posho au mwingine wowote in the first place kwenye huu mchakato wa katiba? Wanataka tujadili hili logically?

Mathalani hivi anayepinga rasimu nzima ya katiba baada ya mchakato uliogharimu mabilioni ya fedha, kwa sababu tu anataka aliyokuwa nayo yeye ndo yaingizwe, anaitwaje kama suala linataka kuwa rounded up kwenye posho!?!?!

Tangu lini CCM hawa hawa ambao majuzi wamekiri wenyewe kuwa serikali yao imejaa rushwa, wameanza kuumizwa sana na matumizi mabovu ambayo umekuwa msingi wao wa kuendesha serikali?

Hii ni sehemu ya danganya toto inayofanywa na watu wazima dhidi ya watu wazima wenzao eti kupinguza mori na ari itakayoanza kuamushwa kesho hapo Kibandamaiti.

Kama wanafikiria kwa kujidanganya kuwa UKAWA si lolote si chochote, mbona wanapoteza muda kuwazungumzia kuanzia wanapofungua bunge hadi wanapofunga?

He!!! Kumbe upo. Ulishapotea. Shukuru UKAWA angalau imekupa justification ya kujaza vocha ya malipo.
 
Ni bahati mbaya tu kwamba kuna watu wanafikiri wanaweza kuishi kwa kupika uongo kama huu!

Unafiki wa Sitta na CCM wenzake wanataka kugeuza BMK fake linaloendelea kuwa ni kiwanda cha kutengeneza majungu na fitna zisizo msaada...

UKAWA ina uongozi wake. Ina utaratibu wake wa kusema, kuwasiliana na umma na kutoa taarifa au habari.

Haijawahi kumteua 'ndumilakuwili' yeyote kuwa msemaji wake. Walipotoka bungeni kwa ajili ya kusimamia maslahi na matakwa ya wananchi hawakusemewa na Sitta wala mtu mwingine wa aina yake, tena kutoka CCM. Walisema wao!

Modes of Operandi ya kuendelea na mchakato huu let alone kurudi huko kama CCM wanavyotaka, wameshaitoa sasa huo uzabi zabina wa kutunga hekaya unaofanywa na watu wazima unasaidia kitu gani? Cheating their own brains for whose benefits?

Wanazungumzia posho...so what?

Hivi yupi anayefanya ufisadi wa posho au mwingine wowote in the first place kwenye huu mchakato wa katiba? Wanataka tujadili hili logically?

Mathalani hivi anayepinga rasimu nzima ya katiba baada ya mchakato uliogharimu mabilioni ya fedha, kwa sababu tu anataka aliyokuwa nayo yeye ndo yaingizwe, anaitwaje kama suala linataka kuwa rounded up kwenye posho!?!?!

Tangu lini CCM hawa hawa ambao majuzi wamekiri wenyewe kuwa serikali yao imejaa rushwa, wameanza kuumizwa sana na matumizi mabovu ambayo umekuwa msingi wao wa kuendesha serikali?

Hii ni sehemu ya danganya toto inayofanywa na watu wazima dhidi ya watu wazima wenzao eti kupinguza mori na ari itakayoanza kuamushwa kesho hapo Kibandamaiti.

Kama wanafikiria kwa kujidanganya kuwa UKAWA si lolote si chochote, mbona wanapoteza muda kuwazungumzia kuanzia wanapofungua bunge hadi wanapofunga?

He!!! Kumbe upo. Ulishapotea. Shukuru UKAWA angalau imekupa justification ya kujaza vocha ya malipo baada ya kuposti ----- wako.
 
Halafu cha kusikitisha, ni mchungaji mmoja ambaye ni mjumbe wa BMK kusimama mwishoni mwa Bunge akiomba kutoa taarifa. Taarifa aliyoitoa karibu nitapike. Eti anadai kwamba tangu Ukawa waondoke Bungeni, amepokea simu nyingi zikipongeza hali ya bunge na kutaka iendelee hivyo hivyo. Akaenda mbali sana kwa kusema kwamba wananchi waliompigia simu wameusifia sana uongozi wa Six. Kweli uchumia tumbo ni kitu kibaya sana.
 
Ni bahati mbaya tu kwamba kuna watu wanafikiri wanaweza kuishi kwa kupika uongo kama huu!

Unafiki wa Sitta na CCM wenzake wanataka kugeuza BMK fake linaloendelea kuwa ni kiwanda cha kutengeneza majungu na fitna zisizo msaada...

UKAWA ina uongozi wake. Ina utaratibu wake wa kusema, kuwasiliana na umma na kutoa taarifa au habari.

Haijawahi kumteua 'ndumilakuwili' yeyote kuwa msemaji wake. Walipotoka bungeni kwa ajili ya kusimamia maslahi na matakwa ya wananchi hawakusemewa na Sitta wala mtu mwingine wa aina yake, tena kutoka CCM. Walisema wao!

Modes of Operandi ya kuendelea na mchakato huu let alone kurudi huko kama CCM wanavyotaka, wameshaitoa sasa huo uzabi zabina wa kutunga hekaya unaofanywa na watu wazima unasaidia kitu gani? Cheating their own brains for whose benefits?

Wanazungumzia posho...so what?

Hivi yupi anayefanya ufisadi wa posho au mwingine wowote in the first place kwenye huu mchakato wa katiba? Wanataka tujadili hili logically?

Mathalani hivi anayepinga rasimu nzima ya katiba baada ya mchakato uliogharimu mabilioni ya fedha, kwa sababu tu anataka aliyokuwa nayo yeye ndo yaingizwe, anaitwaje kama suala linataka kuwa rounded up kwenye posho!?!?!

Tangu lini CCM hawa hawa ambao majuzi wamekiri wenyewe kuwa serikali yao imejaa rushwa, wameanza kuumizwa sana na matumizi mabovu ambayo umekuwa msingi wao wa kuendesha serikali?

Hii ni sehemu ya danganya toto inayofanywa na watu wazima dhidi ya watu wazima wenzao eti kupinguza mori na ari itakayoanza kuamushwa kesho hapo Kibandamaiti.

Kama wanafikiria kwa kujidanganya kuwa UKAWA si lolote si chochote, mbona wanapoteza muda kuwazungumzia kuanzia wanapofungua bunge hadi wanapofunga?


Kuna ukawa wanadai posho, ulitaka wapitie kwako?
 
Back
Top Bottom