MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
CHADEMA mnafurahisha sana!
Kwa hiyo wewe Makene unayewasemea UKAWA ndiyo umekuwa officially msemaji wake?.
Wewe unatofauti gani na huyu unayemzodoa na kudai siyo msemaji wa UKAWA.
Kadri siku zinavyojibainisha, baadhi ya viongozi waandamizi wa CHADEMA mtakuwa busy kutoa matamko kama ilivyo jadi ya CHADEMA.
Kwa hiyo wewe Makene unayewasemea UKAWA ndiyo umekuwa officially msemaji wake?.
Wewe unatofauti gani na huyu unayemzodoa na kudai siyo msemaji wa UKAWA.
Kadri siku zinavyojibainisha, baadhi ya viongozi waandamizi wa CHADEMA mtakuwa busy kutoa matamko kama ilivyo jadi ya CHADEMA.
Last edited by a moderator: