UKAWA mnaniharibia mwanangu, nakosa raha nyumbani

UKAWA mnaniharibia mwanangu, nakosa raha nyumbani

Lowassa apige Kampeni, au asipige sio Issue sana, cha muhimu sisi wapiga kura tumeshamuelewa, utumishi wake uliotukuka unajulikana pia lengo kuu ni kuiondoa CCM madarakani ili tuanze kujenga taifa letu upya!
Nakumbuka siku anaapa kuchukua uwaziri mkuu alisema atawapatia watanzania utumishi uliotukuka, bahati mbaya sana hakutupatia huo utumishi uliotukuka na matokeo yake hata wewe unayafahamu.
 
Bado mjukuu wako,huyo ndo atakuwa anakutandikia kitanda ktwa kutumia mashuka ya CDM situi utalala au?.
Changes we need!.
 
Tupieni vipicha basi na kama kuna link ya azam tupatieni manake wengine tupo maeneo ya mbali kidogo. Kwa kuwa serikali ya CCM imesambaza mkongo wa taifa kila mahala tunaweza kushuhudia Waziri Mkuu Aliyeweka Historia ya Kufukuzwa na Bunge akiongea na akina mama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom