VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Kipenga kinakaribia kupulizwa. Tutaanza na Serikali za Mitaa mwaka huu. Sisi na nyinyi mapambanoni. Siasani. Sasa,mtoto hatumwi dukani.
Sisi tumejiandaa kimbinu muhimu. Tumejiandaa kuzoa Serikali za Mitaa kama taa ya kijani ya mwakani juu ya uchaguzi mkuu. Amini nawaambia,kwa daftari lililopo na mfumo wa uchaguzi tulionao,ushindi wenu utakuwa mgumu sana.
Sisi tutapeta. Mmeziona karatasi za kupigia kura za Vijiji na Vitongoji ? Hata kura zitakazoharibika zitatusaidia. Mtabaki kushangaa tu.
Mkae mguu sawa. Tukutane uchaguzini
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Sisi tumejiandaa kimbinu muhimu. Tumejiandaa kuzoa Serikali za Mitaa kama taa ya kijani ya mwakani juu ya uchaguzi mkuu. Amini nawaambia,kwa daftari lililopo na mfumo wa uchaguzi tulionao,ushindi wenu utakuwa mgumu sana.
Sisi tutapeta. Mmeziona karatasi za kupigia kura za Vijiji na Vitongoji ? Hata kura zitakazoharibika zitatusaidia. Mtabaki kushangaa tu.
Mkae mguu sawa. Tukutane uchaguzini
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam