UKAWA mkae mguu sawa

UKAWA mkae mguu sawa

Siyo tu humu JF hata kwenye magazeti nimeliona hili jambo.Na kama halina ukweli basi wahusika wangekanusha haraka sana.Na mhusika mkuu hapa NI WM Pinda!
Dah, sikujua kama wanayo mamlaka kutuburuza wanavyopenda.
 
Dah, sikujua kama wanayo mamlaka kutuburuza wanavyopenda.

Tungekuwa na Wanasheria makini hili lingekuwa suala lenye uzito kulipeleka mahakamani,nashindwa kuwaelewa hawa LHRC kikitokea kitu ndiyo wakwanza kulalamika eti haki za binadamu lakini sasa hivi wako busy magazetini wanalalamika kama mimi kalaghabaho.
 
Nyie watu wa maGAMBA cjui mnatumia viungo gani kufikiri yaani nyie muda wote mnafikiria KULA tu,,,ndio maana mnachaguana kwa Sahani ya WALI MAHARAGE sasa watu km nyie mna umuhimu gani kwenye NCH hii

Nyie ukawa ndio wapuuzi sana mnaua watu kwenye Maandamano yenu halafu baadae mnaenda kunywa juice IKULU
 
Nyie ukawa ndio wapuuzi sana mnaua watu kwenye Maandamano yenu halafu baadae mnaenda kunywa juice IKULU

Kujibishana naww nisawa na kumkimbiza Mwendawazimu alieniibia NGUO zangu km mnaushahidi huo Mnashindwa nini kuwachukulia hatua zakisheria ikiwa mnaongoza Serikali,,,,!
 
Kujibishana naww nisawa na kumkimbiza Mwendawazimu alieniibia NGUO zangu km mnaushahidi huo Mnashindwa nini kuwachukulia hatua zakisheria ikiwa mnaongoza Serikali,,,,!

Ha ha ha Dj MBOOwe kaita Maandamano sasa hivi yupo Oman na viongozi wa chama kubwa CCM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom