UKAWA mjitafakari, mmepwaya sana

UKAWA mjitafakari, mmepwaya sana

Mleta mada kaandika jambo kuntu sana kwa wapenzi wa CDM wanaojitambua kamwe hawawezi kucomment pumba kama wanazo comment baadhi hapo juu...
Mawazo yako kwa Baba Jessica kuwaita watoto wa waliompigia kura, vilaza na kuwafukuza, wakati kuna vilaza wamebakizwa UDOM.
 
Wazungusha mikono hapa watatukana had asubuhi
 
Pole ndugu mleta uzi. Ni bahati mbaya tu kuwa hao unaowa-address they are politically, morally and already mentally dead. Unaweza kusubiri mazishi yao. Hawa wanaokujibu hovyo humu ndani wala siyo wanachama wa CDM bali ni watumishi/vibarua wa mtandao wa New Mtandao/Team Lowasa ndani ya Chadema.
Nashukuru ndugu yangu kwa kuliona hili. .mimi hilo la new team nalijua wazi kwanI ni hivi majuzi tu wamemaliza kikao chao pale monduli.
Na mojawapo ya majukumu waliyopeana ni hili la kujenga vikosi tofauti katika mitandao ya kijamii. Kumbe wananchi wengi mmeliona na kulitambua hili. ..washindwe daima
 
commonmwananchi
Hawa jamaa tena kupitia mbowe hakika anawaharabia kabisa njia/future kupitia kule bungeni.

Mfano; wanatambua hawafiki theluthi inayotakiwa kumuondoa naibu spika bungeni wao wanaendeleza kutoka nje, hapo ni uzombi wa kitoto hata kama wanataka kuonesha wapiga kula wao, inabidi watambue hali ya kisiasa ya sasa |upepo| unasomaje wala si kukurupuka kama mbowe anavowapeleka.

Kuna mtu mmoja aliwahi kusema ACT inakuja kwa mwendo wa kinyonga, na kweli sitashangaa kuona hilo.

Muda utakuja kusema lol..!!, but nafahamu kuna vijana wapo vyama vya upinzani wenye weledi na wengine ni wabunge, ambao niliona wangepewa nafasi kufanya research ya mambo kadha kadha ambayo kutokana na elimu yao wangeweza kujenga hoja zenye nguvu siyo kutoka nje, ili hizo hoja ziumize vichwa vya wabunge walio wengi/wanaolala.

Hapo ndipo influence ingepata nguvu kwa wapiga kura wao na ai hili dudu la kutoka nje wanaloliendea pale dodoma.
 
Kweli siku hizi Chadema imeishiwa watu wa kujibu hoja ....sasa hapa mmejibu nini.?

Kwa mwendo huu wa kuparamia hoja za matukio, CCM watausumbua sana Upinzani....CCM watakua wanabadilisha tu CD nyie ni kucheza tu bila kujiuliza.!
BK 7
 
Mawazo yako kwa Baba Jessica kuwaita watoto wa waliompigia kura, vilaza na kuwafukuza, wakati kuna vilaza wamebakizwa UDOM.
Mmebaki na sera chonganishi kama hizI zisizo mashiko. ..unanikumbusha mzee duni na uchonganishi wake wa"..wametuita malofaaaa! !!
 
commonmwananchi
Hawa jamaa tena kupitia mbowe hakika anawaharabia kabisa njia/future kupitia kule bungeni.

Mfano; wanatambua hawafiki theluthi inayotakiwa kumuondoa naibu spika bungeni wao wanaendeleza kutoka nje, hapo ni uzombi wa kitoto hata kama wanataka kuonesha wapiga kula wao, inabidi watambue hali ya kisiasa ya sasa |upepo| unasomaje wala si kukurupuka kama mbowe anavowapeleka.

Kuna mtu mmoja aliwahi kusema ACT inakuja kwa mwendo wa kinyonga, na kweli sitashangaa kuona hilo.

Muda utakuja kusema lol..!!, but nafahamu kuna vijana wapo vyama vya upinzani wenye weledi na wengine ni wabunge, ambao niliona wangepewa nafasi kufanya research ya mambo kadha kadha ambayo kutokana na elimu yao wangeweza kujenga hoja zenye nguvu siyo kutoka nje, ili hizo hoja ziumize vichwa vya wabunge walio wengi/wanaolala.

Hapo ndipo influence ingepata nguvu kwa wapiga kura wao na ai hili dudu la kutoka nje wanaloliendea pale dodoma.
Well said mkuu 100%
 
Upinzani umeishiwa charge! Tundu Lissu naye kawa bubu hasa katika bunge hili ambalo Dk Tulia ni Naibu Spika. Inawezekana kuwa huyu Lissu ni kilaza eeeh?. Mbona kwa Makinda alitamba?
 
Sugu kafanya mikutano jana mbeya. kuna sehemu nilipita wakati naenda airport songwe nilikuta anahutubia watu kama wajube wa nyumba kumi hata 30 hawafiki
 
Sugu kafanya mikutano jana mbeya. kuna sehemu nilipita wakati naenda airport songwe nilikuta anahutubia watu kama wajube wa nyumba kumi hata 30 hawafiki
Ndio maana nimesema wanaichezesha kamari ukawa kwa manufaa ya kundi fulani ambalo bado haliamini kwamba uchaguzi umekwisha
 
Hoja yoyote yenye mbolea kwa taifa haiwezi kufichwa na bunge live.
Kila media itairipoti bila kusubiri bunge live. ..kwani kabla ya bunge live kulikuwa hakuna hoja?
Hiyo ni saws na kusema hata simu za mkononi zikizuiwa hakuna Shida kwani mbona zamani hazikuwepo.
Kila jambo na wakati wake
 
Hiyo ni saws na kusema hata simu za mkononi zikizuiwa hakuna Shida kwani mbona zamani hazikuwepo.
Kila jambo na wakati wake
No cm za mkononi sio siasa wala huwa hatupigi kampeni iLife kuteuliwa kununua cm
 
Mimi sipendi wala sitaki siasa zenye mwendelezo wa matukio lazimishi bila vision.
Kwa ujumla watanzania makini wanashindwa kuelewa muelekeo wa siasa za upinzani ndani ya nchi hii.

Sina uhakika kama wakuu wa ukawa wakiongozwa na CHADEMA kama wanaliona hili, lakini ni ukweli ulio wazi kwamba kuna ombwe kubwa la uongozi ndani na nje ya bunge letu tukufu.

Nje ya bunge ni kama hakipo ilhali ndani ya bunge ni ziro .
Nalazimika kuamini kwamba huenda Zuberi zitto kabwe na Dk wilbroad slaa ndio waliokuwa nguzo kuu ya uongozi wa chama hicho.kwani tangu viongozi hao kujiengua ndani ya CHADEMA, chama kimepwaya kama ndege yenye rubani bila kapteni.

CHADEMA imeongeza idadi kubwa ya wabunge lakini hakuna miongoni mwao anayeonekana kuwa na uwezo wa kujenga hoja kama ilivyokuwa enzi za Dk slaa na Zitto kabwe.

Upinzani bungeni una serkali kivuli bungeni,lakini imekuwa dormant. Ni kama haipo au kama ipo basi inafuata ushauri wa mtu au kundi fulani lenye malengo yake tofauti na lengo halisi la kambi rasmi ya upinzani bungeni.

Mawaziri wake wamekosa uwezo na weledi wa kukusanya taarifa mbalimbali muhimu zinazovutia, zinazoweza kuitwa taarifa mbadala za baraza la Mawaziri kivuli wa kambi ya upinzani bungeni.

Badala yake Mawaziri kivuli wamebaki kutumia taarifa za matukio yaliyopita bila kutoa. .way forward, mwelekeo wa wapi sasa kama taifa tunapaswa kuelekea kisera na kisekta. Pamoja na kulalamika kwamba CCM wamepora sera zenu. Lakini mbona hamziendelezi katika hotuba mbadala zenu ili wananchi tuwaelewe na kuamini mnayoyasema?
Kwamba Server ya sera hizo mnazo?

Badala yake sasa mmebaki na na kukariri historia ya escrow, uuzwaji nyumba za serikali, bungeni live, nk.

Hakuna jipya la kuishauri serkali, au hata jipya la kuwashauri watanzania badala yake mmekuwa watu wa HARAKATI bungeni.wakati mnaelewa kabisa mnawawakilisha wapiga kura majimboni kwenu.sikatai au watanzania hawakatai msikemee au kufichua maovu yoyote ndani ya nchi yetu, huo ndio hasa wajibu wenu, Lakini changamoto hapa ni kwamba muwe mnakuwa na njia mbadala pale mnapokosoa ni vema kuwa na ubunifu wa njia au sera mbadala badala ya kugeuka wapingaji badala ya wapinzani.

Muwakumbuke wapiga kura wenu kuhusu maisha bora kule waliko miundombinu ya barabara, madawati, madawa, na hata walimu bora na sio bora walimu kama hili sakata la udom sasa hivi mnapolifanya kuwa mtaji wenu kisiasa au uklfichwaji wa sukari.

Mjipange kabla ya kukurupuka, mfano waziri kivuli mambo ya ndani anapokwenda kusoma taarifa ya uuzwaji nyumba za serikali. Wakati mnaye msemaji rasmi kambi ya upinzani bungeni wa wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano wapi na wapi?

Kwa hiyo mnapojiandaa kufanya kile mnachoamini nyinyi kama kuishitaki serikali kwa wananchi, pia mjiulize hao wananchi kweli kero yao kubwa ni ipi kati ya rushwa, ubadhirifu, elimu bora, madawa hospitali za umma,barabara, na miundombinu ya reli? ?

Au bunge live Wakati asilimia kubwa ya wananchi wenu au wapiga kura wenu wakiwa wanatumia vibatali bila umeme wa kuangalia hiyo television?

Ingawa ukweli huwa ni mchungu kuukubali mimi nimeanza kwa kuwakumbusha kwamba pamoja na bungeni live.lakini hiyo si kipaumbele cha walalahoi wa nchi hii, bali bungeni live huenda ikawa Ni mtaji zaidi kwenu kutegemea na matakwa ya wafadhili wenu ili waweze kuwaona mkitimiza kile walichowatuma live!

Ila pia muelewe karata hii ni kamari mnataka kuicheza. ...ikila kwenu hili mlitambue nikiwakumbusha mh kafulira alivyoweza kutuibulia masuala nyeti ya kutaifa Lakini akawa mzito jimboni kurudi kuwajulia kero wapiga kura hatimae kilichojiri Ni historia.

Najua kuna matusi yatakuja hapa ila nimetimiza wajibu wangu kama mtanzania commonmwananchi karibuni tuchangie
Upo gheto Kwa Lugumi ? Lakini unakula Kwa Dau wa NSSF na wakati mwingine unashinda kwenye mabehewa chakavu ya Mwakyembe ukivizia wapita njia wenye kutaka vibali vya sukari uwapige, Tambua kuwa Live si tatizo bali Tatizo ni Pesa ya Live ilikuwa haifiki TBC ilikuwa inapigwa na wajanja alipoingia Magufuli wakajuia litakuwa JIPU ndipo wakaenda kumdanganya afute live ili wapate mda wa kufuta ushahidi huku wakiwahadaa Watanzania kuwa ni gharama kwenda live , Pesa zilizopigwa kwenye Ujenzi wa daraja la Kigamboni na pesa za Chenji ya Bunge la katiba na ile ya Rada kama zisingeliwa na Wewe na watu wako zingetosha kulipia Live hata miaka 30, kivuko cha milion 800 kilinunuliwa Kwa bilion 8 sasa ni kibovu kimekuwa makazi ya panya Kama mabehewa wa Mwakyembe , Nchi hii kuna Vioja Richmond ni ya Kikwete lakini miaka yote mmeeneza propaganda kuwa Lowasa yumo , Escrow, IPTL , Nani kafaidika na huo ufisadi ? Lugumi yupo busy kuwasahaulisha Watanzania hivyo kuna mbinu za kila aina zinakuja mpaka Lugumi asahaulike kabsa .
 
Upinzani umeishiwa charge! Tundu Lissu naye kawa bubu hasa katika bunge hili ambalo Dk Tulia ni Naibu Spika. Inawezekana kuwa huyu Lissu ni kilaza eeeh?. Mbona kwa Makinda alitamba?
Babaako kasema kilaza walikuwa wenye Div 4 lakini Mwanae Jesca nae ana Div 4 lakini yeye kachomolewa kwenye ukilaza, hata Akina kibajaji , Profesa maji marefu sasa ni Wasomi kuliko hao wanafunzi na wao si vilaza , ccm kuna Wasomi wengi sana akina Mzee Lukuvi , Aganes Marwa , goodluck kombani , na wenzao wengi hao ni Wasomi wakubwa mda si mrefu watapata PhD .
 
Babaako kasema kilaza walikuwa wenye Div 4 lakini Mwanae Jesca nae ana Div 4 lakini yeye kachomolewa kwenye ukilaza, hata Akina kibajaji , Profesa maji marefu sasa ni Wasomi kuliko hao wanafunzi na wao si vilaza , ccm kuna Wasomi wengi sana akina Mzee Lukuvi , Aganes Marwa , goodluck kombani , na wenzao wengi hao ni Wasomi wakubwa mda si mrefu watapata PhD .
Safi sana!!!
 
Wakipwaya furaha kwako, inakuuma nini?

Mimi sipendi wala sitaki siasa zenye mwendelezo wa matukio lazimishi bila vision.
Kwa ujumla watanzania makini wanashindwa kuelewa muelekeo wa siasa za upinzani ndani ya nchi hii.

Sina uhakika kama wakuu wa ukawa wakiongozwa na CHADEMA kama wanaliona hili, lakini ni ukweli ulio wazi kwamba kuna ombwe kubwa la uongozi ndani na nje ya bunge letu tukufu.

Nje ya bunge ni kama hakipo ilhali ndani ya bunge ni ziro .
Nalazimika kuamini kwamba huenda Zuberi zitto kabwe na Dk wilbroad slaa ndio waliokuwa nguzo kuu ya uongozi wa chama hicho.kwani tangu viongozi hao kujiengua ndani ya CHADEMA, chama kimepwaya kama ndege yenye rubani bila kapteni.

CHADEMA imeongeza idadi kubwa ya wabunge lakini hakuna miongoni mwao anayeonekana kuwa na uwezo wa kujenga hoja kama ilivyokuwa enzi za Dk slaa na Zitto kabwe.

Upinzani bungeni una serkali kivuli bungeni,lakini imekuwa dormant. Ni kama haipo au kama ipo basi inafuata ushauri wa mtu au kundi fulani lenye malengo yake tofauti na lengo halisi la kambi rasmi ya upinzani bungeni.

Mawaziri wake wamekosa uwezo na weledi wa kukusanya taarifa mbalimbali muhimu zinazovutia, zinazoweza kuitwa taarifa mbadala za baraza la Mawaziri kivuli wa kambi ya upinzani bungeni.

Badala yake Mawaziri kivuli wamebaki kutumia taarifa za matukio yaliyopita bila kutoa. .way forward, mwelekeo wa wapi sasa kama taifa tunapaswa kuelekea kisera na kisekta. Pamoja na kulalamika kwamba CCM wamepora sera zenu. Lakini mbona hamziendelezi katika hotuba mbadala zenu ili wananchi tuwaelewe na kuamini mnayoyasema?
Kwamba Server ya sera hizo mnazo?

Badala yake sasa mmebaki na na kukariri historia ya escrow, uuzwaji nyumba za serikali, bungeni live, nk.

Hakuna jipya la kuishauri serkali, au hata jipya la kuwashauri watanzania badala yake mmekuwa watu wa HARAKATI bungeni.wakati mnaelewa kabisa mnawawakilisha wapiga kura majimboni kwenu.sikatai au watanzania hawakatai msikemee au kufichua maovu yoyote ndani ya nchi yetu, huo ndio hasa wajibu wenu, Lakini changamoto hapa ni kwamba muwe mnakuwa na njia mbadala pale mnapokosoa ni vema kuwa na ubunifu wa njia au sera mbadala badala ya kugeuka wapingaji badala ya wapinzani.

Muwakumbuke wapiga kura wenu kuhusu maisha bora kule waliko miundombinu ya barabara, madawati, madawa, na hata walimu bora na sio bora walimu kama hili sakata la udom sasa hivi mnapolifanya kuwa mtaji wenu kisiasa au uklfichwaji wa sukari.

Mjipange kabla ya kukurupuka, mfano waziri kivuli mambo ya ndani anapokwenda kusoma taarifa ya uuzwaji nyumba za serikali. Wakati mnaye msemaji rasmi kambi ya upinzani bungeni wa wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano wapi na wapi?

Kwa hiyo mnapojiandaa kufanya kile mnachoamini nyinyi kama kuishitaki serikali kwa wananchi, pia mjiulize hao wananchi kweli kero yao kubwa ni ipi kati ya rushwa, ubadhirifu, elimu bora, madawa hospitali za umma,barabara, na miundombinu ya reli? ?

Au bunge live Wakati asilimia kubwa ya wananchi wenu au wapiga kura wenu wakiwa wanatumia vibatali bila umeme wa kuangalia hiyo television?

Ingawa ukweli huwa ni mchungu kuukubali mimi nimeanza kwa kuwakumbusha kwamba pamoja na bungeni live.lakini hiyo si kipaumbele cha walalahoi wa nchi hii, bali bungeni live huenda ikawa Ni mtaji zaidi kwenu kutegemea na matakwa ya wafadhili wenu ili waweze kuwaona mkitimiza kile walichowatuma live!

Ila pia muelewe karata hii ni kamari mnataka kuicheza. ...ikila kwenu hili mlitambue nikiwakumbusha mh kafulira alivyoweza kutuibulia masuala nyeti ya kutaifa Lakini akawa mzito jimboni kurudi kuwajulia kero wapiga kura hatimae kilichojiri Ni historia.

Najua kuna matusi yatakuja hapa ila nimetimiza wajibu wangu kama mtanzania commonmwananchi karibuni tuchangie
 
Back
Top Bottom