Wachovu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 1,227
- 566
Wacha ujinga wako nani kakwambia ni watoto wa maskiniHili ndo swali sijaona majibu yake bado, watu midomo mireefu, majibu hakuna. Watuambie ilikuwaje vijana zaid ya 7000 watoto wa masikin, wakafukuzwa kama Mbwa na askar wenye silaha za moto usiku usiku, bunge la CCM likabariki na kuwafukuza UKAWA nje, wakat chuo hicho hicho kuna watu wasio na sifa mpaka leo wapo?
?