Teamubwabwa
Senior Member
- Jul 7, 2015
- 172
- 59
Watanzania tumejifunza kutoka kwenu kuwa wanasiasa sio watu waaminifu, hasa hapa kwetu Tanzania. CHADEMA mjiangalie upya kwani baada ya uchaguzi huu na miaka 5 ijayo, majimbo yote mliyonayo yanarudi CCM.
Nalisemea hili pia kwa CUF kama mtaendelea kusimamia uongo na utapeli mliotudhihirishia kuhusu mashaka mliotuaminisha kwa mgombea wenu wa urais akiwa CCM kuwa hafai ni fisadi na sasa mnataka tumpe urais kupitia kwenu.
Watanzania sio wapumbavu, tunajitambua.
Nalisemea hili pia kwa CUF kama mtaendelea kusimamia uongo na utapeli mliotudhihirishia kuhusu mashaka mliotuaminisha kwa mgombea wenu wa urais akiwa CCM kuwa hafai ni fisadi na sasa mnataka tumpe urais kupitia kwenu.
Watanzania sio wapumbavu, tunajitambua.