UKAWA mbona mmezubaa?

UKAWA mbona mmezubaa?

DSN

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
2,837
Reaction score
1,686
Msanii wa micholo ya kuelimisha jamii Kipanya anafanya maongezi Na Wana Ukawa na anaonekna kuwasisitizia kwa kuwauliza ''mbona Wamezubaa?

Naomba niambiewe maana ya neno kuzubaa?manake uenda tafsiri yangu na hii aliyoito Kipanya leo uenda zikawa hazina uwiano.Mie niliona ukimya usio na ubunifu wenye kutufanya sisi walaji tuone kuna jambo jema na la msingi linakuja...yani PILAU ikiwa inapikwa kila mmoja katika eneo husika ujua PILAU kweli linapikika maeneo hayo.Tumeona jinsi pilau la CCM linavyo tayarishwa japo kuna wapishi wengine baadhi wapo wapo tu lakini ndio demokrasia hiyo lazima ikutane na wafuata sheria na wavunja sheria.

Binafsi sioni ubunifu kutoka UKAWA kuhusiana na mazingira ya kutuaminisha kuwa watakachotuletea ni BORA bali wanafanya mambo as if ni mambo ya TIMING na sio Programmed Kama CCM.Binafsi nilitegemea ubunifu huru wenye fikra mpya na hata mgombea wao lazima awe wazi leo hii kungekuwa na judgement ambazo zingekuwa zinaendelea kwenye vichwa vya watu hata mapungufu yangekuwa yashatafutiwa majibu mapema.

CCM wanajua wanachokifanya kwani ndani ya wavunja kanuni, kuna watu makini wenye kujua kanuni hizo kama silaha yao..lakini ujumbe kwa umma kwa hakika unatufikia vyema tu.Sasa hawa ndugu zangu UKAWA mmmhh Ukimya huo NILIUONGEA HAPA.Kama Mlaji Nimeshiba Presidential Buzzy Ya CCM 2015, Upinzani Mko Wapi, Buzzy Strategy Yenu Nini?

Kipanya anasema:
attachment.php
 

Attachments

  • kp10062015.jpg
    kp10062015.jpg
    22.5 KB · Views: 4,943
Kwani kujitekenya na kucheka mwenyewe nako ni ujanja? Hako kamchezo kanakocheza CCM watanzania wanakajua vizuuuuri. Watanzania sio wajinga bhana!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
DSN

Kama si mwana ukawa ya ukawa yanakuhusu nini?
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmm, unadhani UKAWA wajinga wajiingize kwenye mtego?
 
Ni kosa kubwa sana kwenye vita wote kupigana kwa mbinu za aina moja!
 
Mmmmmmm, unadhani UKAWA wajinga wajiingize kwenye mtego?
Hawana ubunifu ndio kuna wavunja kanuni na hilo haliwazui kufanya shughuri za msingi katika namna best yenye kuleta POSITIVE results na kuamsha aina mpya za ubunifu kama ambao CCM ametuletea...ambao kuna watu wameufuata kwa usahihi lakini kuna watu wamevunja kutokufuata kanuni hizo.

Uwezi kukaa kimya kama bubu kisha utegemee uletewe ubunifu wa kujinadi katika namna ambayo ni ya watu walio civilized kabisa.
 
Ukawa wanajua hawaendi popote CCM wamejipanga mwaka huu
 
Ukawa tunawasubili wateule kutoka hapa chini tuwasurubu
11401406_1856066681285134_7642956825257043872_n.jpg


Hawa jamaa tukiwateua tena wataturudisha huku tuliko
11393114_1854602138098255_8163957453014648361_n.jpg
 
mm nijuavyo ukawa ni watu wa mahesabu Sana na mambo yao mengi yanaendesha kwa siri
sio wapenda sifa za kijinga kama ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom