UKAWA mbona mmezubaa?

UKAWA mbona mmezubaa?

Ukawa hawajui kuwa hawana muda na wanahitaji muda mwingi sana kujitangaza hasa huko mikoani...wanavyozidi kuchelewa inazidi kula kwao..Huo ndo mkakati wa CCM.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Ukawa wanacheza na midundo ya CCM. Inastaajabisha sana
Maana yako ndiyo maana yangu na ndiyo maana ya Kipanya.why dont they dance their own music...ili sie wachagua song tuchague.
 
Ukawa tunawasubili wateule kutoka hapa chini tuwasurubu
11401406_1856066681285134_7642956825257043872_n.jpg


Hawa jamaa tukiwateua tena wataturudisha huku tuliko
11393114_1854602138098255_8163957453014648361_n.jpg

Hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom