Kutokana na ukosefu wa umeme nchi nzima sasa UKAWA uuchukue matatizo haya kama MTAJI wao wa kuelezea wananchi kuwa CCM imeshindwa kwa kutowaondolea wananchi matatizo ya umeme. Hii iwe ajenda mahususi ili wananchi waelewe na kuikataa CCM katika uchaguzi unaokuja tarehe 25.10.2015.