UKAWA kwanini mnawafanyia CCM vibaya hivyo

UKAWA kwanini mnawafanyia CCM vibaya hivyo

kunawishwa mikono sio uhakika wa kupewa chakula
 
Hahahahaaaaa hivi MANI umeiona kweli hii kaka
We Elli cheka tuu! Mie nakubaliana na mtoa mada kuwa kahuruma lazima kawepo kidogo kwani kuelekea octoba misiba itakayo tokana na mashinikizo ya damu itakuwa mingi sana mitaani. Kwa hali hiyo huoni michango ya sanda itawaumiza sana wananchi?
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kulala mpaka kieleweke mwk huu hatuibiwi kura teeeennnnaaa tumejipanga ipasavyo UKAWA tupo pamoja
 
haa haa ccm kwa sasa wagombea ubunge wako mitaani wakiwahonga wananchi kwa leso,vitenge,kanga. pesa na hata wali. wagombea ubunge wengi wanashindana majimboni kwa sasa nani anaweza kugawa rushwa zaid..
 
Wahurumie watanzania si ccm adui mkubwa wa maendeleo.sijui kwa nn siipendi ccm kwa asili,!
 
vibaraka wa lumumba hawagusi hapa wanachungulia na kutoka wanakosa cha kuchangia huku mioyo ikiwauma ila naona msalani kaamua kujitosa angalau kwa uoga
 
Si walisema UKAWA hawatafika mbali...wengine wakadai kuwa ni muungano wa vyeo..sasa hao hao baadhi yao wakaomba wajiunge nao...wakakataliwa...sasa wameona speed ya UKAWA haikamatiki...wameanza kulia foul kabla ya mechi rasmi kuanza...Poor CCM...
 
safi sana wa tz kwa jiandaa kupokea serikali itakayo ongozwa nawatu makini kutoka ukawa
 
We Elli cheka tuu! Mie nakubaliana na mtoa mada kuwa kahuruma lazima kawepo kidogo kwani kuelekea octoba misiba itakayo tokana na mashinikizo ya damu itakuwa mingi sana mitaani. Kwa hali hiyo huoni michango ya sanda itawaumiza sana wananchi?
Hahahhahaaa nimecheka sana sana basi naomba nikubaliane na Mleta mada, ndio maana wazee wengi wa CCM wameshatangaza kustaafu, hawatagombea tena!
 
Yule msukule wao kiongozi mkuu wa wasaliti hajaanza kuwasaidia ile mikoa 14

Halafu mkuu kumbe ayoutolah zito alianza mbio zake za Mwenge mikoa ambayo ni ngome ya ma ccm ili apate support yao ionekane anakubaliiika. Hajui kuwa wabongo wa siasa sio wale wa mwaka 47!
 
Back
Top Bottom