Kama ni kweli hili litkuwa pigo kwao hatuwezi anzisha chama na kuingia ikulu.Huu ndiyo ukweli na vingine ni ndoto.Habari wadau..
Katika kupeleka pigo kubwa kwa ccm ,umoja wa vyama vitatu vikuu vya upinzani upo hatua za mwisho tayari kwa kusajili chama kipya cha muungano na kuua vya sasa.
Chama hicho kitaitwa NCC means... N for NCCR, C for CUF and C for CHADEMA.
Hakika nguli hawa wametisha.... Ccm bye bye..... Kakutane na akina KANU
I wish wasikiite kwa jina hilo...maana watakuwa wanalimit vyama vingine vitakavyo ondoa tongotongo kujiunga...
ncc=national congress conversion
ncc=national congress conversion
Tuambie maana ya NCC, si mambo ya Lumumba hapa; lete uzi wenye mashiko si kuandika andika bila uchunguzi wowote eti NCC, sasa lini hata ungekuwa muungano wa vya usiwe na ujumbe; Look kwa Chadema unasema wamechukua C maana yake Chama; That is not enough to call the masage of the political party, ndo maana nasema ni Uongo .
ncc=national congress conversion
Pure lies, hivi unajua process ya kuanzisha chama kipya cha Siasa Tanznia, taking into consideration general election is next year October 2015.
Wewe utakuwa wakara wa shetani (read Lumumba Book 7 FC)
Habari wadau..
Katika kupeleka pigo kubwa kwa ccm ,umoja wa vyama vitatu vikuu vya upinzani upo hatua za mwisho tayari kwa kusajili chama kipya cha muungano na kuua vya sasa.
Chama hicho kitaitwa NCC means... N for NCCR, C for CUF and C for CHADEMA.
Hakika nguli hawa wametisha.... Ccm bye bye..... Kakutane na akina KANU
Wakiite hivyo hivyo UKAWA.
Hili jina limepenya Kabisa Mioyoni mwa wananchi
Njia ya Mwongo ni Fupi: Mleta mada tunajua CCM means Chama cha Mapinduzi; CHADEMA means Chama Cha Demokrasia na Maendelea; CUF means Civic United Front; Na vyote Vina Maana na Ujumbe kwa Jamii; Swali langu kwako Mleta Mada NCC kirefu chake na Maana yake nini?