Sinda69
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 378
- 218
Kama uchanguzi wa Tanzania ukijafanywa kama ule wa Kenya ulivyoendeshwa, UKAWA watakuja lia sana.
Na ushindi wa JUBILEE kwa mbinu hizohizo zilizotumika, zitatumika kuiwezesha CCM kuendelea kubaki madarakani. Hii ni faida kubwa kwa CCM na ni hasara kwa UKAWA wanaoshabikia pasipotafakari ya kina. Mahara yake kwao UKAWA.
Chris Msando aliyekuwa IT manager kauawa kwa makusudi kabisa ili ushindi upatikane, lakini UKAWA wanaona sawa tu.
Fomu za matokeo zilizotumwa kituo kikuu wasimamizi wanalalamika matokeo yaliyotoka siyo yenyewe.
Mfano msimamizi wa eneo la Kisumu anashuhudia kwamba, eneo lile Raila alimshinda mbali sana Uhuru lakini matokeo iliyosoma tume kuu IEBC imeonyesha kwamba Uhuru aliongoza eneo lile la Kisumu kwa kumshinda Raila kwa mbali sana.
Nionacho UKAWA wangetulia wakatathmin njia zote zilizotumika KENYA kumpa ushindi Uhuru kuliko kukurupuka na kuusifia tena kumsifia Uhutu kwa rsfu zote alizotumia kuupata udhindi.
Nawaona UKAWA kama muungsno usiyo kuwa makini na namna ya kutathmini mambo.
UKAWA wanaunga mkono ushindi wa Uhuru kwa vile tu Raila ni rafiki wa Magufuli sidhani kama hii ni siasa nzuri.
UKAWA wangejifunza ni kivipi pamoja na mikakati mizuri ya NASA bado JUBILEE wamefanikiwa kuwaibia (nadhani) ili uchaguzi wa 2020 nao wawe makini kuziba hiyo mianya, sasa badala yake wao wanamsifu Uhuru kwa mbinu zote alizotumia hadi kutangazwa mshindi.
NI USHAURI WANGU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ushindi wa JUBILEE kwa mbinu hizohizo zilizotumika, zitatumika kuiwezesha CCM kuendelea kubaki madarakani. Hii ni faida kubwa kwa CCM na ni hasara kwa UKAWA wanaoshabikia pasipotafakari ya kina. Mahara yake kwao UKAWA.
Chris Msando aliyekuwa IT manager kauawa kwa makusudi kabisa ili ushindi upatikane, lakini UKAWA wanaona sawa tu.
Fomu za matokeo zilizotumwa kituo kikuu wasimamizi wanalalamika matokeo yaliyotoka siyo yenyewe.
Mfano msimamizi wa eneo la Kisumu anashuhudia kwamba, eneo lile Raila alimshinda mbali sana Uhuru lakini matokeo iliyosoma tume kuu IEBC imeonyesha kwamba Uhuru aliongoza eneo lile la Kisumu kwa kumshinda Raila kwa mbali sana.
Nionacho UKAWA wangetulia wakatathmin njia zote zilizotumika KENYA kumpa ushindi Uhuru kuliko kukurupuka na kuusifia tena kumsifia Uhutu kwa rsfu zote alizotumia kuupata udhindi.
Nawaona UKAWA kama muungsno usiyo kuwa makini na namna ya kutathmini mambo.
UKAWA wanaunga mkono ushindi wa Uhuru kwa vile tu Raila ni rafiki wa Magufuli sidhani kama hii ni siasa nzuri.
UKAWA wangejifunza ni kivipi pamoja na mikakati mizuri ya NASA bado JUBILEE wamefanikiwa kuwaibia (nadhani) ili uchaguzi wa 2020 nao wawe makini kuziba hiyo mianya, sasa badala yake wao wanamsifu Uhuru kwa mbinu zote alizotumia hadi kutangazwa mshindi.
NI USHAURI WANGU.
Sent using Jamii Forums mobile app