Samweli Sitta yule spika wa bunge maalumu la katiba la mwaka jana ni mtenda muujiza asiyekubali kushindwa.
Hata baada ya Jakaya kikwete kutangaza hadharani theluthi mbili kupitishsa rasimu ya chenge, na hata Mwigulu kumtaka sita kuahirisha bunge lile kwa kutokuwa na uhakika na akidi ya theluthi mbili, bado kwa kujiamini sita alitenda muujiza kwa kupitisha rasimu ile kwa kura mbili ambazo hadi leo hazijulikani zilitoka wapi.
Wasaidizi wa mtenda muujiza huyo ni pamoja na Hamad rashid, naibu spika Tulia acson, na dr Francis Michael ambao ukimwacha Hamad rashid walizawadiwa kuwa board members wa Bandari baada ya kumsaidia mtenda muujiza kupitisha rasimu ya katiba kwa muujiza.
Mtenda muujiza hakukomea hapo bali ktk uchaguzi mkuu wa october 2015 alitenda tena muujiza mwingine kuhakikisha kuwa Magreth Sitta anapeta kwenye kura za maoni kupitia ccm ili kugombea kiti cha ubunge cha urambo. this time alihitaji kutenda muujiza ili aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa EWURA, Haruna Masebu asitie mguu kwenye hicho kinyanganyiro. katika kutenda huo muujiza sita alikuwa amebaki na silaha moja nayo ni uwaziri wake wa uchukuzi uliompa fursa ya kuteua tena wajumbe wa bodi ya bandari kunakosadikika kuwa ni shamba la bibi!
Hivyo Sitta akatenda muujiza kwa kumteua Haruna masebu kuwa mjumbe wa hiyo bodi, Kwahiyo Bwana akatenda muujiza tena, Masebu akawa mjumbe wa bodi ya TPA na hibyo akajitoa kwenye kinyanganyiro na Magreth sitta kapeta, Aksante muujiza.
Muujiza mwingine ni ule wa kutaka mwananwe awe meya wa manispaa ya kindondoni ambapo diwani Benjamini Sita(CCM-yenye madiwani 18) alikuwa akichuana na Diwani Jacob Boniface(ukawa-madiwani 38), muujiza UKAWA huo ulianza kwa vikao visivyoisha sebuleni kwa Sitta mwenyewe.
Tena kwa bahasha zilizonona lakini kwa bahati mbaya muujiza huu ukaishia kwa sitta kugeuka kuwa mfadhili wa ukawa, kwani pesa alizokuwa akiwahonga madiwani ni hizo hizo zilioztumika kugharamia vikao vya caucus ya UKAWA na baadaye kununua zile kalamu zenye kamera zilizomliza mwanae benjamini!
SITTA ENDELEA KUTENDA MIUJIZA.
Hata baada ya Jakaya kikwete kutangaza hadharani theluthi mbili kupitishsa rasimu ya chenge, na hata Mwigulu kumtaka sita kuahirisha bunge lile kwa kutokuwa na uhakika na akidi ya theluthi mbili, bado kwa kujiamini sita alitenda muujiza kwa kupitisha rasimu ile kwa kura mbili ambazo hadi leo hazijulikani zilitoka wapi.
Wasaidizi wa mtenda muujiza huyo ni pamoja na Hamad rashid, naibu spika Tulia acson, na dr Francis Michael ambao ukimwacha Hamad rashid walizawadiwa kuwa board members wa Bandari baada ya kumsaidia mtenda muujiza kupitisha rasimu ya katiba kwa muujiza.
Mtenda muujiza hakukomea hapo bali ktk uchaguzi mkuu wa october 2015 alitenda tena muujiza mwingine kuhakikisha kuwa Magreth Sitta anapeta kwenye kura za maoni kupitia ccm ili kugombea kiti cha ubunge cha urambo. this time alihitaji kutenda muujiza ili aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa EWURA, Haruna Masebu asitie mguu kwenye hicho kinyanganyiro. katika kutenda huo muujiza sita alikuwa amebaki na silaha moja nayo ni uwaziri wake wa uchukuzi uliompa fursa ya kuteua tena wajumbe wa bodi ya bandari kunakosadikika kuwa ni shamba la bibi!
Hivyo Sitta akatenda muujiza kwa kumteua Haruna masebu kuwa mjumbe wa hiyo bodi, Kwahiyo Bwana akatenda muujiza tena, Masebu akawa mjumbe wa bodi ya TPA na hibyo akajitoa kwenye kinyanganyiro na Magreth sitta kapeta, Aksante muujiza.
Muujiza mwingine ni ule wa kutaka mwananwe awe meya wa manispaa ya kindondoni ambapo diwani Benjamini Sita(CCM-yenye madiwani 18) alikuwa akichuana na Diwani Jacob Boniface(ukawa-madiwani 38), muujiza UKAWA huo ulianza kwa vikao visivyoisha sebuleni kwa Sitta mwenyewe.
Tena kwa bahasha zilizonona lakini kwa bahati mbaya muujiza huu ukaishia kwa sitta kugeuka kuwa mfadhili wa ukawa, kwani pesa alizokuwa akiwahonga madiwani ni hizo hizo zilioztumika kugharamia vikao vya caucus ya UKAWA na baadaye kununua zile kalamu zenye kamera zilizomliza mwanae benjamini!
SITTA ENDELEA KUTENDA MIUJIZA.