Kwani Yeriko ndo msemaji wa UKAWA?
Mbowe kwa sasa amekimbilia Dubai kujificha
Limbukeni ni ndugunyako YerikoKwa hiyo kama Makubi amekanusha ulitaka asemeje?....ww jamaa ni limbukeni na hayawani kabisa
Hapa fisadi Lowasa anaingiaje?Unamjua Lowassa wewe,? Lazma amwage ugali. Pinda out!!
Wote walioshiriki kupokea pesa hizo ni mafisadi. Tuungane kuwakemea bila kujali chama. Kama mbowe alichukua tumkemee pia. Kilaini naye akemeweMlifungua uzi wa kizushi mods wakaufunga. Ila kaka/Dada, unajua hata ukiwashabikia akina chenge,msoto wa maisha hauchagui wewe ni wa chama gani. Gharama kubwa za umeme hazichagui ccm wa la ukawa. Tuwe pamoja kuwapinga hawa wezi tupate unafuu wa maisha
Kanusho la kipuuzi sana hili
mbowe kwa sasa amekimbilia dubai kujificha
Aliyeanzisha uzi huo wa uzushi apewe ban ya milele kwa kuleta uzushi katika jambo lenye umuhimu mkubwa kwa Watanzania.
Wakuu wa UKAWA bungeni Dodoma kukutana hivi punde katika ukumbi wa Msekwa,pamoja na mambo mengine kukanusha vikali na kukemea propaganda chafu ya wana-ESCROW zinaenezwa kwamba wamefungua kesi mahakamani.Nitawajuza zaidi
Kanusho la kipuuzi sana hili