Ndugu zangu UKAWA kwa heshima mlioipata kwa wa Tz wenyeuelewa tunawaombeni sana timizeni malengo yenu kwani wachamungu tunaamini kuwa jambo hili lina mkono wa Mungu.mtapingwa sana kwani hii ndiyo historia ya dunia naomba mkumbuke kuwa hata bwana wetu Yesu kristo alikfa msalabani ili tupate wokovu nanyi leo hii mmebeba msalaba huu ili taifa hili likombolewe.lakini mtambue kuwa binadamu tumeumbwa kukanusha ukweli uwe uongo.ukisoma maandiko ya bibilia yanatuonesha kuwa hata baada ya bwana Yesu kufufuka wapo watu walioamua kukanusha huku wakisema amebiwa na wanafunzi wake hajafufuka mpaka pale alipo watokea wanafunzi wake hivyo mimi nawatia sheme msirudi nyuma tena ukombozi unakaribia.