UKAWA kuitikisa Zanzibar leo

UKAWA kuitikisa Zanzibar leo

matangazo ya moja kwa moja yanapatikana vizuri kabisa, tunawashukuru sana ukawa kwa kutaka kila mtanzania popote alipo awasikie na tuko tayari kuwasikia
 
attachment.php

Hahahahahaha..............TATU bila.
 
Twawasubili huku,Mungu awasaidie.Tuepukane na hawa wanaotutishia jeshi.
 
Matangazo yamekatika kwangu. ..Pls share an alternative way.
 
matangazo ya moja kwa moja yanapatikana vizuri kabisa, tunawashukuru sana ukawa kwa kutaka kila mtanzania popote alipo awasikie na tuko tayari kuwasikia

Sasa hayo matangazi yanapatikana wapi jamani?ebu nipeni maujanja
 
Mliopo huko znz tupieni updates hapa maana hakuna popote tunapoweza kupata matangazo hayo..
 
Naona B7 wamepata kigugumizi baada ya kuona mirija yao inaanza kusinyaa

Hwawezi kukanyaga hapa.....wame3pagawa wanapanga mkakati mwingine maana zile nyimbo za ukanda,udini zimechikwa.
 
Ndugu zangu UKAWA kwa heshima mlioipata kwa wa Tz wenyeuelewa tunawaombeni sana timizeni malengo yenu kwani wachamungu tunaamini kuwa jambo hili lina mkono wa Mungu.mtapingwa sana kwani hii ndiyo historia ya dunia naomba mkumbuke kuwa hata bwana wetu Yesu kristo alikfa msalabani ili tupate wokovu nanyi leo hii mmebeba msalaba huu ili taifa hili likombolewe.lakini mtambue kuwa binadamu tumeumbwa kukanusha ukweli uwe uongo.ukisoma maandiko ya bibilia yanatuonesha kuwa hata baada ya bwana Yesu kufufuka wapo watu walioamua kukanusha huku wakisema amebiwa na wanafunzi wake hajafufuka mpaka pale alipo watokea wanafunzi wake hivyo mimi nawatia sheme msirudi nyuma tena ukombozi unakaribia.

saafii,ubarikiwe
 
Back
Top Bottom