Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Taarifa toka katika gazeti moja la leo la mtanzania 29/4/2014 limeripoti kuwa UKAWA wanajiandaa kumfungulia kesi mwanasheria mkuu wa serikali juu ya wa mjadala wa rasimu bungeni.
Mashtaka yake yatakuwa ni kutosimamia sheria inayowataka wajumbe wa bunge maalum kujadili rasimu iliyowasilishwa bungeni kwa mujibu wa sheria kinyume chake wajumbe wamejikita kujadili mambo ambayo hayamo katika rasimu iliyoletwa bungeni.
Sheria ya mchakato wa katiba namba 25(2) inasema wajumbe wataboresha rasimu na sikubadilisha ama kufuta yaliyomo ndani ya rasimu.
Mantiki ya kuboresha mfano wake ni kuwa nyumba ina madirisha 3 umeambiwa uyaboreshe maana yake sio kuongeza madirisha yawe 4 ama kupunguza yawe 2 ila mantiki yake kuyaboresha maana yake ni kama yalikuwa ya mbao unaweka ya viyoo lakini yale yale 3,kama yalikua hayana nondo za ulinzi unayawekea nondo lakini yatabakia yale yale 3 na sio kuongeza yawe 4 au kupunguza yawe 2,huko si kuboresha.
Mashtaka yake yatakuwa ni kutosimamia sheria inayowataka wajumbe wa bunge maalum kujadili rasimu iliyowasilishwa bungeni kwa mujibu wa sheria kinyume chake wajumbe wamejikita kujadili mambo ambayo hayamo katika rasimu iliyoletwa bungeni.
Sheria ya mchakato wa katiba namba 25(2) inasema wajumbe wataboresha rasimu na sikubadilisha ama kufuta yaliyomo ndani ya rasimu.
Mantiki ya kuboresha mfano wake ni kuwa nyumba ina madirisha 3 umeambiwa uyaboreshe maana yake sio kuongeza madirisha yawe 4 ama kupunguza yawe 2 ila mantiki yake kuyaboresha maana yake ni kama yalikuwa ya mbao unaweka ya viyoo lakini yale yale 3,kama yalikua hayana nondo za ulinzi unayawekea nondo lakini yatabakia yale yale 3 na sio kuongeza yawe 4 au kupunguza yawe 2,huko si kuboresha.