UKAWA Iringa wameshinda bila kupingwa

UKAWA Iringa wameshinda bila kupingwa

Wilaya Ya Iringa vijijini
Vijiji CCM wamepta bila kupingwa 45 kati ya 134

Vitongoji CCM imepita bila kupingwa 465 kati ya 743

Wajumbe CCM imepita bila kupingwa 2299 kati ya 3225 (sahihisho)
 
Hii imetokana na wagombea mbali mbali wa ccm kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa madiwani na serikali za mitaa. Wagombea hao wamejitoa kwa kukosa support ya wananchi kwenye kampeni, katika mikutano yao walikuwa wanajikuta aidha wako wenyewe au wananchi wasio zidi watano(5) ndiyo wanaowasikiliza.

Hongera wananchi wa Iringa kwa kujitambua.
Mbinu pekee waliyobaki nayo ccm ni mapingamizi .
 
Wilaya Ya Iringa vijijini
Vijiji CCM wamepta bila kupingwa 45 kati ya 134

Vitongoji CCM imepita bila kupingwa 465 kati ya 743

Wajumbe CCM imepita bila kupingwa 2299 kati ya 3225 (sahihisho)

Bila mapingamizi ya kizushi hakuna ccm , ushindi wa mezani ni aibu .
 
Mkuu HUWEZI AMINI NIKO HAPA MJINI NAONA MAGARI YA UKAWA TU YANAPITA YAKIPEPERUSHA BENDERA ZAO.
\
Halafu hapo Iringa mjini, ndiyo hao magamba aka Eskrow, wanadai kwamba kwa kuwa watamsimamisha Mwakalebela, aliyefanyiwa 'mtimanyongo' na NEC ya chama chao mwaka 2010, kwa hiyo wana uhakika wa kurirejesha jimbo hilo toka mikononi kwa Mchungaji Msigwa.

Lakini kwa mazingira ninayoyaona hapo Iringa mjini na mwamko wa wana chadema/ukawa ulivyo, CCM kushinda hapo ni NEXT TO IMPOSSIBLE MISSION!
 
Labda muibe kura mwaka ujao hima watanzania tumechoka kuongozwa na wakoloni weusi..hadi watt wao na wake zao wanautafuta ubunge..wananchi kataeni ufalme...hakuna watu wengine?tumenyanyaswa vya kutosha!sasa basi wakati umewadia!
 
\
Halafu hapo Iringa mjini, ndiyo hao magamba aka Eskrow, wanadai kwamba kwa kuwa watamsimamisha Mwakalebela, aliyefanyiwa 'mtimanyongo' na NEC ya chama chao mwaka 2010, kwa hiyo wana uhakika wa kurirejesha jimbo hilo toka mikononi kwa Mchungaji Msigwa.

Lakini kwa mazingira ninayoyaona hapo Iringa mjini na mwamko wa wana chadema/ukawa ulivyo, CCM kushinda hapo ni NEXT TO IMPOSSIBLE MISSION!

Itakuwa ni ndoto ya mchana kwa ccm. Leo nimewashudia baadhi wakifanya kampeni mguu kwa mguu kwenye vijiwe vya pool table ambazo pia hazitazaa matunda.
 
tofautisha kati ya kupita bila kupingwa na uchaguzi kutofanyika kisha uje tena
 
vipi kunampango wa kuahirisha uchaguzi au nimeelewa vibaya? fafanua hapo.[/QUOTE MWAKAJEMBE ww bado ni mchanga kabisa katika Siasa na huenda ni mara yako ya kwanza kupiga kura
nakushauri usubiri matokea hapo Iringa kwaenye Chaguzi hizo za Serikali za Mitaa uone jinsi CCM itakavyogaragaza kura hizo
KUPITA BILA KUPINGWA =
  • ni kwamba Eneo hilo hakuna Mpinzani zaidi ya mgombea wa Chama husika
  • Ikiwa na maana wagombea wengine hawakutimiza Masharti ya uchaguzi hivyo hawaruhusiwi kugombea
  • Mitaa, Vijiji na Vitongoji ambavyo havuna mapingamizi vitapiga kura Jumapili 14/12/2014 na dalili hapo inajionesha hata Iringa Mjini bado ni pagumu CCM KUSHINDWA
    quote_icon.png
    By Sir Leem

    Wilaya Ya Iringa vijijini
    Vijiji CCM wamepta bila kupingwa 45 kati ya 134

    Vitongoji CCM imepita bila kupingwa 465 kati ya 743

    Wajumbe CCM imepita bila kupingwa 2299 kati ya 3225 (sahihisho)
 
Last edited by a moderator:
unagombeaje bila mpinzani uliwahi sikia nchi gani zaidi ya tanzania na tff? TFF NYIE
 
Haya ndio yanayomfanya pinda aonekane kiongozi duni kati ya wagombea uraisi wengine
 
Mkuu HUWEZI AMINI NIKO HAPA MJINI NAONA MAGARI YA UKAWA TU YANAPITA YAKIPEPERUSHA BENDERA ZAO.

Yaani sio huko tu kwa sasa habari ya mjini ukawa ccm wamebaki na ile mijimama ya kijibua a.k.a mishangingi sijui ccm iliwatafunia nini hawa jamaa lol chunguza utagundua kitu.
 
vipi kunampango wa kuahirisha uchaguzi au nimeelewa vibaya? fafanua hapo.[/QUOTE MWAKAJEMBE ww bado ni mchanga kabisa katika Siasa na huenda ni mara yako ya kwanza kupiga kura
nakushauri usubiri matokea hapo Iringa kwaenye Chaguzi hizo za Serikali za Mitaa uone jinsi CCM itakavyogaragaza kura hizo
KUPITA BILA KUPINGWA =
  • ni kwamba Eneo hilo hakuna Mpinzani zaidi ya mgombea wa Chama husika
  • Ikiwa na maana wagombea wengine hawakutimiza Masharti ya uchaguzi hivyo hawaruhusiwi kugombea
  • Mitaa, Vijiji na Vitongoji ambavyo havuna mapingamizi vitapiga kura Jumapili 14/12/2014 na dalili hapo inajionesha hata Iringa Mjini bado ni pagumu CCM KUSHINDWA

Pamoja na uchanga wangu ktk siasa lakini ni mtu mzima si mtoto naona nakutambua sambamba nakusoma alama za nyakati kwa taarifa yako hiyo kwanza safar hii vijana wengi ndio waliojiandikisha ukilinganisha na miaka iliyopita na vijana hakuna anayependa ccm iwepo madarakani. Nilkuwa naongea hata na akina mama wafanyabiashara ndogo ndogo walisema wanawachagua viongozi wa UKAWA japo walisema nanukuu;tukiwachagua viongozi hawa katika kuleta maendeleo viongozi wa juu wa ccm huwazibia mianya.
 
\
Halafu hapo Iringa mjini, ndiyo hao magamba aka Eskrow, wanadai kwamba kwa kuwa watamsimamisha Mwakalebela, aliyefanyiwa 'mtimanyongo na NEC ya chama chao mwaka 2010, kwa hiyo wana uhakika wa kurirejesha jimbo hilo toka mikononi kwa Mchungaji Msigwa.

Lakini kwa mazingira ninayoyaona hapo Iringa mjini na mwamko wa wana chadema/ukawa ulivyo, CCM kushinda hapo ni NEXT TO IMPOSSIBLE MISSION!
hawako sahihi. Mwakalebela kukubalika kwake kwenye hatua za uteuzi ndani ya chama si kukubalika kwake kwa wapiga kura. Mchungaji msigwa angemshinda Mwakalebela.
 
.... Kama Kweli Big Up.! Kama Ni Uwongo Mi Simo.!

nipo hapa iringa hiyo habar ni kweli na hata jana baada ya kuona wamekosa saport walimkata panga la kichwa kijana mmoja anajulikana kwa jina la kiduku na ameshonwa nyuzi nane...yaan huku hawana pakutokea
 
Back
Top Bottom