UKAWA Iringa wameshinda bila kupingwa

UKAWA Iringa wameshinda bila kupingwa

MWAKAJEMBE

Senior Member
Joined
Oct 27, 2014
Posts
133
Reaction score
55
Hii imetokana na wagombea mbali mbali wa ccm kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa madiwani na serikali za mitaa. Wagombea hao wamejitoa kwa kukosa support ya wananchi kwenye kampeni, katika mikutano yao walikuwa wanajikuta aidha wako wenyewe au wananchi wasio zidi watano(5) ndiyo wanaowasikiliza.

Hongera wananchi wa Iringa kwa kujitambua.
 
mwakajembe uongo mwingine angalia kwanza kabla ya kuurusha jamvini..Uchaguzi wa madiwani bado mpaka 2015 sasa hao waliojitoa kugombea ni akina nani? halafu ati wamejikuta wako wenyewe au na watu watano..ungetupia picha tukuamini lakini hivhivi unatuuzia mbuzi guniani
Hii imetokana na wagombea mbali mbali wa ccm kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa madiwani na serikali za mitaa. Wagombea hao wamejitoa kwa kukosa support ya wananchi kwenye kampeni, katika mikutano yao walikuwa wanajikuta aidha wako wenyewe au wananchi wasio zidi watano(5) ndiyo wanaowasikiliza
Hongera wananchi wa Iringa kwa kujitambua.
 
mwakajembe uongo mwingine angalia kwanza kabla ya kuurusha jamvini..Uchaguzi wa madiwani bado mpaka 2015 sasa hao waliojitoa kugombea ni akina nani? halafu ati wamejikuta wako wenyewe au na watu watano..ungetupia picha tukuamini lakini hivhivi unatuuzia mbuzi guniani

subiri matokeo haina haja ya kulumbana saizi humu.
 
Sahihisho kidogo ni uchaguzi wa serikali za mitaa sio madiwani. Ila umeeleweka vyema.

Nashukr mkuu kwa masahihisho, lakini nilimaanisha kuwa hata mwakani wapiga kura ni walewale kwahiyo hata udiwani ccm watausikia tu kwenye vyombo vya habari
 
mwakajembe uongo mwingine angalia kwanza kabla ya kuurusha jamvini..Uchaguzi wa madiwani bado mpaka 2015 sasa hao waliojitoa kugombea ni akina nani? halafu ati wamejikuta wako wenyewe au na watu watano..ungetupia picha tukuamini lakini hivhivi unatuuzia mbuzi guniani
Mkiletewa picha mnasema za mwaka juzi, kisa mikutano yenu imedoda! Mitanzania bana, ndivyo ilivyo!!
 
Nii muongoi wewee mtoaa madaa mbona nipoo iringa mjini na ccm hawajajitoa hata kidogo
 
Juzi juzi hapa walifanya mkutano maeneo ya Tabata Kimanga, mkutano wao ulidoda kinoma pamoja na kuwa ilikuwa siku ya jumapili na waliokuwepo ni wale wenye jezi za rangi ya yanga na majani.
Wakaja UKAWA tena katika siku ya kazi na mkutano ukashonesha kinoma noma.
 
Tusubiri matokeoo chadema mitandaonii mnashindaa tusubiriii matokeoooo
 
Ni taarifa ya Mkoa wa Iringa ipo hivi:

Wilaya ya Iringa Mjini
Kuna mitaa 192 Mitaa 22 CCM wamepita bila Kupingwa

Wilaya Ya Iringa vijijini
Vijiji CCM wamepta bila kupingwa 45 kati ya 134

Vitongoji CCM imepita bila kupingwa 465 kati ya 743

Wajumbe CCM imepita bila kupingwa 229 kati ya 3225

Wilaya ya Kilolo

Vijiji CCM imepita bila kupingwa ni 33 kati ya 93

Vitongoji imepita bila kupingwa ni 259 kati ya 494


Wilaya ya Mufindi
Mitaa CCM imepita bila kupingwa 16 kati ya 30

Vijiji CCM imepita bila kupingwa ni 89 kati ya 128

Vitongoji CCM imepita bila kupingwa 498 kati ya 606
 
Back
Top Bottom