Mwanachama Sahihi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 572
- 217
Mmezindua kampeni tayari, Dar es Salaam imewasikia na Iringa mmeonekana. Kilichodhihirika Iringa ni kwamba Lowassa anapata support kutoka kwa watu walewale aliotoka nao kwenye chama chake cha zamani. Tuelewe kwamba hamkuandaa timu kabambe katika zoezi hili? Au bado mnajipanga? Ufafanuzi tafadhali.