el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,064
Unajua bajet ya serikali kwa mwaka ni kiasi gani?Zidisha hiyo trillion Moja Mara 12 Halafu compare!
Upuuz umekujaa kichwan
Trillioni moja kukusanywa mwezi huu haimaanishi kiwango cha pesa hakiwezi kuongezeka...
So kama magufuli atakaza kila mtu alipe kodi kwa mujibu wa sheria, akate misamaha ya kodi .... tunaweza kukusanya pesa nyingi sana maana watu wengi sana hawalipi kodi.mits obvious we shall get rid of beggin