funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Nimeingia JF kwa slogan ya KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA baada ya kufadhaishwa na nchi kuendeshwa kwa misaada ya kipuuzi puuzi ambayo tungeweza kujikimu wenyewe.
Nimetumia slogan hiyo ili kubadilisha attitude ya watanzania katika kujiletea maendeleo yao na kuwa huru.
Mimi sio muumini wa dawa bure ambazo ni kwa hisani ya watu wa nje.
Nachukia tangazo la wizara ya afya kwa hisani ya watu wa marekani!!
Mimi ni muumini wa kununua huduma kwani tunaweza.
Niwape logic ndogo tu...
Tunasema mama mjamzito apewe huduma bure kumbe tunategemea huduma hiyo ilipiwe na mmarekani anayelipa kodi...shame!!
Wakati mama huyo huyo anayepewa huduma bure ananunuliwa madera na kanga za kutosha akiwa mjamzito....na pia anachinjiwa ngo'mbe anapojifungua.
kanga ni sh 5000 kwa doti...
Dera ni sh elfu thelathini.
Ngi'ombe sio chini ya laki nne!
Inakuwaje familia ya mama huyu ishindwe kulipia japo elfu kumi tu kwa huduma ya kujifungua???
Nikirudi kwa hawa vilaza wa UKAWA ....
Nilidhani wanaweza kuwa na sera mbadala dhidi ya ccm kumbe wao ndio hatarishi kabisa ...they totaly bow down to the wazungu!!
Eti kiongozi wa UKAWA anataka serikali iweke mambo sawa ili tuendelee kuwa ombaomba...!
Tena anakuwa wa kwanza kushadadia ukosefu wa misaada na anapendekeza tukidhi matakwa ya wazungu ili tuendelee kupata misaada.
PUMBAVU KABISA!!
Kiongozi huyo huyo anashindwa kucomment lolote kwenye mazuri ya JPM kuwezesha ukusanyaji wa kodi in one month!!
Kama UKAWA mnataka nchi ili muendeleze tabia ya kuombaomba basi msahau as far as great dudes like me will be alive!!
Shame upon you!!
Ukijibu njoo kamili kamili !!
Mimi ni mtoto wa KARIAKOO SIO MBEZI BEACH!!
Nimetumia slogan hiyo ili kubadilisha attitude ya watanzania katika kujiletea maendeleo yao na kuwa huru.
Mimi sio muumini wa dawa bure ambazo ni kwa hisani ya watu wa nje.
Nachukia tangazo la wizara ya afya kwa hisani ya watu wa marekani!!
Mimi ni muumini wa kununua huduma kwani tunaweza.
Niwape logic ndogo tu...
Tunasema mama mjamzito apewe huduma bure kumbe tunategemea huduma hiyo ilipiwe na mmarekani anayelipa kodi...shame!!
Wakati mama huyo huyo anayepewa huduma bure ananunuliwa madera na kanga za kutosha akiwa mjamzito....na pia anachinjiwa ngo'mbe anapojifungua.
kanga ni sh 5000 kwa doti...
Dera ni sh elfu thelathini.
Ngi'ombe sio chini ya laki nne!
Inakuwaje familia ya mama huyu ishindwe kulipia japo elfu kumi tu kwa huduma ya kujifungua???
Nikirudi kwa hawa vilaza wa UKAWA ....
Nilidhani wanaweza kuwa na sera mbadala dhidi ya ccm kumbe wao ndio hatarishi kabisa ...they totaly bow down to the wazungu!!
Eti kiongozi wa UKAWA anataka serikali iweke mambo sawa ili tuendelee kuwa ombaomba...!
Tena anakuwa wa kwanza kushadadia ukosefu wa misaada na anapendekeza tukidhi matakwa ya wazungu ili tuendelee kupata misaada.
PUMBAVU KABISA!!
Kiongozi huyo huyo anashindwa kucomment lolote kwenye mazuri ya JPM kuwezesha ukusanyaji wa kodi in one month!!
Kama UKAWA mnataka nchi ili muendeleze tabia ya kuombaomba basi msahau as far as great dudes like me will be alive!!
Shame upon you!!
Ukijibu njoo kamili kamili !!
Mimi ni mtoto wa KARIAKOO SIO MBEZI BEACH!!