Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
Kweli nchi bado inavilaza kama wewe ni sheria gani inayowazuia wananchi wasijadili rasimu wakati bunge likiendelea, kijana jua wakati tume inakusanya maoni wananchi kwa nyakati mbalimbali walikuwa anajadili katiba mojawapo ni midahalo,uwoga wenu unatoka wapi kuzui wananchi wakiwemo ukawa kujadili katiba kama kweli mmpo sahihi kwa kile mnachofanya eti mabunge matatu serikali mbili,eti wabunge wa zanzibar kupigia kura vifungu vinavyohusu mambo ya Tanganyika.UKAWA
UMOJA WA KASKAZINI
ninawashangaa sana
kwani ni lazima wao wajadili wakiwa nje ya Bunge?
huwezi jadili vijiweni ukaiendesha Nchi
km wametoka wanyamaze basi, ili Mchakato uendelee kwaniRasimu inabeba itu vingi
Na Nchi itaendelea bila hata ya kutawaliwa na ndoto za UKAWA