Ni dhahili kuwa UKAWA hawaamini kilichotokea na konachoendelea kutokea, walidhani labda CC ya CCM iliyoketi juzi ingebatilisha kuendelea kwa BMK lakini ndio wamegongelea misumari kwamba liendelee na mchakato na wanaridhishwa na mchakato huo hivyo kuvuruga kabisa mahesabu ya UKAWA kushangilia ushindi wa kulivunja BMK, saizi wameshaanza kuweweseka cha muhimu UKAWA mrudi tu bungeni mkajadili katiba msifikili hata siku moja kuwa bunge litasitishwa hilo msahau na katiba mpya utapatikana hata nyie msipo kiwepo ila kwa ushauri tu mrudi bungeni.Nawasilisha