ccm endeleeni na ujinga wenu, tuacheni sie UKAWA tuendelee kutoa elimu mtaani, mtalijua jiji
Mwenyekiti wenu hakujua umuhimu wa elimu sasa hiyo elimu atakayoitoa ni elimu gani?
Toka usingizini mkuu Ikwanja.
Last edited by a moderator:
ccm endeleeni na ujinga wenu, tuacheni sie UKAWA tuendelee kutoa elimu mtaani, mtalijua jiji
Ni dhahili kuwa UKAWA hawaamini kilichotokea na konachoendelea kutokea, walidhani labda CC ya CCM iliyoketi juzi ingebatilisha kuendelea kwa BMK lakini ndio wamegongelea misumari kwamba liendelee na mchakato na wanaridhishwa na mchakato huo hivyo kuvuruga kabisa mahesabu ya UKAWA kushangilia ushindi wa kulivunja BMK, saizi wameshaanza kuweweseka cha muhimu UKAWA mrudi tu bungeni mkajadili katiba msifikili hata siku moja kuwa bunge litasitishwa hilo msahau na katiba mpya utapatikana hata nyie msipo kiwepo ila kwa ushauri tu mrudi bungeni.Nawasilisha
Tulieni dawa iwaingie vizuri.
Mtaanza kukurupushana siku si nyingi kwenye hiko kikundi chenu cha kihalifu.
Mwenyekiti wenu hakujua umuhimu wa elimu sasa hiyo elimu atakayoitoa ni elimu gani?
Toka usingizini mkuu Ikwanja.
Hakuna ana yeweza kuiamini CCM kwa upuuzi wanaoufanya.Watanzania wengi waliamini kuwa CCM ingekuwa mstari wa mbele kuwatetea wananchi matokeo yake wamekuwa mstari wa mbele kuwasaliti wananchi.UKAWA wataendelea kutokuamini kile kinachoendelea kufanywa na CCM tena kwa kushangaa kama ni kweli haya yanafanywa na CCM.
Mkuu, kula like yangu kwa vile natumia kasimu ka nchina
Ndivyo unavyojidanganya na magamba wenzie?!!
Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity. (Martin Luther King Jr.)
Ndivyo unavyojidanganya na magamba wenzio?Kikundi cha kigaidi.
Sijui Marekani inasubiri nini kuiweka UKAWA kwenye orodha ya vikundi vya kigaidi.
Ni dhahili kuwa UKAWA hawaamini kilichotokea na konachoendelea kutokea, walidhani labda CC ya CCM iliyoketi juzi ingebatilisha kuendelea kwa BMK lakini ndio wamegongelea misumari kwamba liendelee na mchakato na wanaridhishwa na mchakato huo hivyo kuvuruga kabisa mahesabu ya UKAWA kushangilia ushindi wa kulivunja BMK, saizi wameshaanza kuweweseka cha muhimu UKAWA mrudi tu bungeni mkajadili katiba msifikili hata siku moja kuwa bunge litasitishwa hilo msahau na katiba mpya utapatikana hata nyie msipo kiwepo ila kwa ushauri tu mrudi bungeni.Nawasilisha
Ndivyo unavyojidanganya na magamba wenzio?
Chama cha magamba, ndicho kilipaswa kuwekwa katika list ya Terrorists groups.
Hebu nijulishe nani alikamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tukio la kutekwa na kutupwa lwenye msitu wa Mabwe pande, kwa Dr Ulimboka?
Hebu nijulishe nani alikamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tukio la kuteswa hadi kunyofolewa jicho kwa, mwanahabari Absolom Kibanda?
Hebu nijulishe nani alikamatwa na kufikishwa mahakamani kwa tukio lakuuawa, kwa meandishi wa habari, Daudi Mwangosi?
Hebu nijulishe nani alikamatwa ns kufikishwa mahakamani, kwa tukio la kuuawa kwa Dr Sengondo Mvungi?
Matukio ya aina hiyo, kwa jeshi letu la polisi, kushikwa na 'kigugumizi' kuwakamata washukiwa wa uhalifu yapo mengi,.
Kwa kifupi ni kuwa kama tukio la uhalifu, halikuhusika na 'wao wenyewe' basi utaona chap chap, watuhimiwa wanadakwa chap chap na lufikishwa mahakamani, na haraka sana wanahukumiwa vifungo!
Sasa hapo ndiyo utakuwa umefanya uchambuzi na kubsini, which group is really terrorist group, is it magamba or ukawa?
Definitely, through that evidence beyond reasonable doubt, the answer could be absolutely magamba!
dah! Mkuu, naona unawapa za uso